Click to expand

Language pair: Click to swap content  Subject   

You searched for: ulijuaje mom ndio mana nimeuliza unakumbuka nn    [ Turn off colors ]

Human contributions

From professional translators, enterprises, web pages and freely available translation repositories.

Add a translation

Swahili

English

Info

Basi, huu ndio mkate ulioshuka kutoka mbinguni; si kama mana waliyokula babu zetu, wakafa. Aulaye mkate huu ataishi milele."
John 6.58

This is that bread which came down from heaven: not as your fathers did eat manna, and are dead: he that eateth of this bread shall live for ever.
John 6.58

Last Update: 2012-05-06
Subject: Religion
Usage Frequency: 1
Quality:
Warning: Contains invisible HTML formatting

Unakumbuka kwamba tangu utoto wako umeyajua Maandiko Matakatifu ambayo yaweza kukupatia hekima iletayo wokovu kwa njia ya imani kwa Kristo Yesu.
2 Timothy 3.15

And that from a child thou hast known the holy scriptures, which are able to make thee wise unto salvation through faith which is in Christ Jesus.
2 Timothy 3.15

Last Update: 2012-05-06
Subject: Religion
Usage Frequency: 1
Quality:

Wazee wenu walikula mana kule jangwani, lakini walikufa.
John 6.49

Your fathers did eat manna in the wilderness, and are dead.
John 6.49

Last Update: 2012-05-06
Subject: Religion
Usage Frequency: 1
Quality:

"Ninyi ndio mliobaki nami wakati wote wa majaribu yangu;
Luke 22.28

Ye are they which have continued with me in my temptations.
Luke 22.28

Last Update: 2012-05-06
Subject: Religion
Usage Frequency: 1
Quality:
Warning: Contains invisible HTML formatting

Watu zaidi ya arobaini ndio waliokula njama kufanya hivyo.
Acts of the Apostles 23.13

And they were more than forty which had made this conspiracy.
Acts of the Apostles 23.13

Last Update: 2012-05-06
Subject: Religion
Usage Frequency: 1
Quality:

Na, ujumbe mliousikia tangu mwanzo ndio huu: Tunapaswa kupendana!
1 John 3.11

For this is the message that ye heard from the beginning, that we should love one another.
1 John 3.11

Last Update: 2012-05-06
Subject: Religion
Usage Frequency: 1
Quality:

Huu ndio mkate kutoka mbinguni; mkate ambao anayekula hatakufa.
John 6.50

This is the bread which cometh down from heaven, that a man may eat thereof, and not die.
John 6.50

Last Update: 2012-05-06
Subject: Religion
Usage Frequency: 1
Quality:

"Na yule mwanamke uliyemwona ndio ule mji mkuu unaowatawala wafalme wa dunia."
Revelation 17.18

And the woman which thou sawest is that great city, which reigneth over the kings of the earth.
Revelation 17.18

Last Update: 2012-05-06
Subject: Religion
Usage Frequency: 1
Quality:
Warning: Contains invisible HTML formatting

Huu ndio mwanga halisi, mwanga unaokuja ulimwenguni, na kuwaangazia watu wote.
John 1.9

That was the true Light, which lighteth every man that cometh into the world.
John 1.9

Last Update: 2012-05-06
Subject: Religion
Usage Frequency: 1
Quality:

Sasa ndio wakati wa ulimwengu huu kuhukumiwa; sasa mtawala wa ulimwengu huu atapinduliwa.
John 12.31

Now is the judgment of this world: now shall the prince of this world be cast out.
John 12.31

Last Update: 2012-05-06
Subject: Religion
Usage Frequency: 1
Quality:

Sasa basi jueni kwamba watu wenye kumwamini ndio walio watoto halisi wa Abrahamu.
Galatians 3.7

Know ye therefore that they which are of faith, the same are the children of Abraham.
Galatians 3.7

Last Update: 2012-05-06
Subject: Religion
Usage Frequency: 1
Quality:

Siku hiyo, baadhi ya Masadukayo walimwendea Yesu. Hao ndio wale wasemao kwamba wafu hawafufuki.
Matthew 22.23

The same day came to him the Sadducees, which say that there is no resurrection, and asked him,
Matthew 22.23

Last Update: 2012-05-06
Subject: Religion
Usage Frequency: 1
Quality:

Lakini ninyi mnawadharau watu maskini! Je, matajiri si ndio wanaowakandamizeni na kuwapeleka mahakamani?
James 2.6

But ye have despised the poor. Do not rich men oppress you, and draw you before the judgment seats?
James 2.6

Last Update: 2012-05-06
Subject: Religion
Usage Frequency: 1
Quality:

Ndio maana sikujiona nastahili hata kuja kwako; amuru tu, na mtumishi wangu atapona.
Luke 7.7

Wherefore neither thought I myself worthy to come unto thee: but say in a word, and my servant shall be healed.
Luke 7.7

Last Update: 2012-05-06
Subject: Religion
Usage Frequency: 1
Quality:

Mnajua kwamba ugonjwa wangu ndio ulionipatia fursa ya kuwahubirieni Habari Njema kwa mara ya kwanza.
Galatians 4.13

Ye know how through infirmity of the flesh I preached the gospel unto you at the first.
Galatians 4.13

Last Update: 2012-05-06
Subject: Religion
Usage Frequency: 1
Quality:

Hapo akawatazama watu waliokuwa wamemzunguka, akasema, "Tazameni! Hawa ndio mama yangu na ndugu zangu.
Mark 3.34

And he looked round about on them which sat about him, and said, Behold my mother and my brethren!
Mark 3.34

Last Update: 2012-05-06
Subject: Religion
Usage Frequency: 1
Quality:
Warning: Contains invisible HTML formatting

Ndio maana nakukumbusha ukiweke motomoto kile kipaji ulichopewa na Mungu wakati nilipokuwekea mikono yangu.
2 Timothy 1.6

Wherefore I put thee in remembrance that thou stir up the gift of God, which is in thee by the putting on of my hands.
2 Timothy 1.6

Last Update: 2012-05-06
Subject: Religion
Usage Frequency: 1
Quality:

Basi, hao kumi na wawili walioteuliwa ndio hawa: Simoni (ambaye Yesu alimpa jina, Petro),
Mark 3.16

And Simon he surnamed Peter;
Mark 3.16

Last Update: 2012-05-06
Subject: Religion
Usage Frequency: 1
Quality:

Wazee wetu walikula mana kule jangwani, kama yasemavyo Maandiko: Aliwalisha mkate kutoka mbinguni."
John 6.31

Our fathers did eat manna in the desert; as it is written, He gave them bread from heaven to eat.
John 6.31

Last Update: 2012-05-06
Subject: Religion
Usage Frequency: 1
Quality:
Warning: Contains invisible HTML formatting

Lakini, badala yake, ninyi ndio mnaodhulumu na kunyang'anya; tena, hayo mnawafanyia ndugu zenu!
1 Corinthians 6.8

Nay, ye do wrong, and defraud, and that your brethren.
1 Corinthians 6.8

Last Update: 2012-05-06
Subject: Religion
Usage Frequency: 1
Quality:

Some human translations with low relevance have been hidden.
Show low-relevance results.

Add a translation

Search human translated sentences

Credits - Computer translations are provided by a combination of our statistical machine translator, Google, Systran and Worldlingo.


Help rating similar searches:  wanaowakandamizeni (Swahili - English) | nilipokuwekea (Swahili - English) | unaowatawala (Swahili - English)


Users are now asking for help: autont (French>English) | bukas iinom uli si papa (Tagalog>English) | bumili ako ng pagkain sa restauran (Tagalog>English) | oncologia (English>Spanish) | bumaliktad ang bus (Tagalog>English) | bukas na ang paglilitis (Tagalog>English) | fires (English>Chinese (Simplified)) | 2 allgemeines (German>English) | titulo (English>Tagalog) | buhay ay langit (Tagalog>English) | οικοδομη (English>Greek) | the most they like it sleeping in the car (English>Tagalog) | buhay america (Tagalog>English) | flottante (French>Latin) | bubong labas (Tagalog>English)


Report Abuse  | About MyMemory   | Contact Us


MyMemory in your language: English  | ItalianoEspañolFrançaisDeutschPortuguêsРусский日本語汉语