From professional translators, enterprises, web pages and freely available translation repositories.
wakaamrishwa wasiharibu nyasi za nchi wala majani wala miti yoyote, bali wawaharibu wale tu ambao hawakupigwa mhuri wa mungu katika paji la uso.
und es ward ihnen gesagt, daß sie nicht beschädigten das gras auf erden noch ein grünes noch einen baum, sondern allein die menschen, die nicht haben das siegel gottes an ihren stirnen.
kama maandiko yasemavyo: "kila binadamu ni kama nyasi, na utukufu wake wote ni kama maua ya porini. nyasi hunyauka na maua huanguka.
denn "alles fleisch ist wie gras und alle herrlichkeit der menschen wie des grases blume. das gras ist verdorrt und die blume abgefallen;
yesu akasema, "waketisheni watu." palikuwa na nyasi tele mahali hapo. basi, watu wakaketi, jumla yapata wanaume elfu tano.
jesus aber sprach: schaffet, daß sich das volk lagert. es war aber viel gras an dem ort. da lagerten sich bei fünftausend mann.
akawaamuru watu waketi katika nyasi. kisha akaitwaa ile mikate mitano na wale samaki wawili, akatazama juu mbinguni, akamshukuru mungu. halafu akaimega hiyo mikate, akawapa wanafunzi wake, nao wakawapa watu.
und er hieß das volk sich lagern auf das gras und nahm die fünf brote und die zwei fische, sah auf zum himmel und dankte und brach's und gab die brote den jüngern, und die jünger gaben sie dem volk.