From professional translators, enterprises, web pages and freely available translation repositories.
lakini wale wenye busara wakawaambia, hayatatutosha sisi na ninyi! afadhali mwende dukani mkajinunulie wenyewe!
ma le sagge risposero: no, che non abbia a mancare per noi e per voi; andate piuttosto dai venditori e compratevene
"sasa, mimi nawatuma ninyi kama kondoo kati ya mbwa mwitu. muwe na busara kama nyoka, na wapole kama njiwa.
ecco: io vi mando come pecore in mezzo ai lupi; siate dunque prudenti come i serpenti e semplici come le colombe
"kwa sababu hiyo, kila mtu anayeyasikia maneno yangu na kuyazingatia, anafanana na mtu mwenye busara, aliyejenga nyumba yake juu ya mwamba.
perciò chiunque ascolta queste mie parole e le mette in pratica, è simile a un uomo saggio che ha costruito la sua casa sulla roccia
yesu akaendelea kusema, "ni nani basi mtumishi mwaminifu na mwenye busara, ambaye bwana wake atamweka juu ya watu wake, awape chakula kwa wakati wake?
qual è dunque il servo fidato e prudente che il padrone ha preposto ai suoi domestici con l'incarico di dar loro il cibo al tempo dovuto
bwana akajibu, "ni nani basi, mtumishi aliye mwaminifu na mwenye busara, ambaye bwana wake atamweka juu ya watumishi wake ili awape chakula wakati ufaao?
il signore rispose: «qual è dunque l'amministratore fedele e saggio, che il signore porrà a capo della sua servitù, per distribuire a tempo debito la razione di cibo
sisi ni wapumbavu kwa ajili ya kristo, lakini ninyi ni wenye busara katika kuungana na kristo! sisi ni dhaifu, ninyi ni wenye nguvu. ninyi mnaheshimika, sisi tunadharauliwa.
noi stolti a causa di cristo, voi sapienti in cristo; noi deboli, voi forti; voi onorati, noi disprezzati
"basi, yule bwana akamsifu huyo karani asiye mwaminifu, kwa kuwa alitumia busara. kwa maana watu wa dunia hii wana busara zaidi na mambo yao kuliko watu wa mwanga."
il padrone lodò quell'amministratore disonesto, perché aveva agito con scaltrezza. i figli di questo mondo, infatti, verso i loro pari sono più scaltri dei figli della luce
kwa maana sitaki ninyi, akina ndugu, mkose kuijua siri hii takatifu, kusudi msiwe wenye busara machoni penu wenyewe: kwamba, kwa sehemu, kumekuwa na kutiwa uzito kwa hisi za israeli mpaka hesabu kamili ya watu wa mataifa iwe imeingia, na kwa namna hii israeli wote wataokolewa. kama ilivyoandikwa: “mkombozi atatoka katika sayuni na kuondolea mbali mazoea ya kutomwogopa mungu kutoka katika yakobo. na hili ndilo agano kwa upande wangu pamoja nao, nitakapoondolea mbali dhambi zao.” ni kweli, kuhusiana na habari njema wao ni adui kwa ajili yenu, lakini kuhusiana na kuchagua kwa mungu wao ni wapendwa kwa ajili ya mababu zao. kwa maana zawadi na mwito wa mungu si mambo ambayo yeye atajutia. kwa maana kama vile ninyi wakati mmoja mlivyokuwa hamtii mungu lakini sasa mmeonyeshwa rehema kwa sababu ya kutotii kwao, ndivyo pia hawa sasa wamekuwa wasiotii ikitokeza rehema kwenu, ili wao wenyewe pia waonyeshwe rehema sasa. kwa maana mungu amewafunga wote pamoja katika kutotii, ili awaonyeshe wao wote rehema.
poiché non voglio, fratelli, che ignoriate questo sacro segreto, affinché non siate discreti ai vostri occhi: che un intorpidimento della sensibilità è avvenuto in parte a israele finché non sia entrato il numero completo* delle persone delle nazioni, e in questa maniera tutto israele sarà salvato. come è scritto: “il liberatore uscirà da sion e allontanerà da giacobbe le pratiche empie. e questo è da parte mia il patto con loro, quando toglierò i loro peccati”. certo, in riferimento alla buona notizia essi sono nemici a causa vostra, ma in riferimento all’elezione [di dio]* sono diletti a causa dei loro antenati. poiché i doni e la chiamata di dio non sono cose di cui egli si rammarichi. poiché come voi una volta foste disubbidienti a dio, ma ora vi è stata mostrata misericordia a causa della loro disubbidienza, così anche questi sono stati ora disubbidienti risultandone a voi misericordia, affinché anche a loro sia ora mostrata misericordia. poiché dio li ha rinchiusi tutti insieme nella disubbidienza, per mostrare a tutti loro misericordia.
Last Update: 2013-03-07
Usage Frequency: 1
Quality:
Reference: