Trying to learn how to translate from the human translation examples.
From professional translators, enterprises, web pages and freely available translation repositories.
mimi nasema ukweli, na ndiyo maana ninyi hamniamini.
a me, invece, voi non credete, perché dico la verità
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
nasema tena wazi: kila anayekubali kutahiriwa itambidi kuishika sheria yote.
e dichiaro ancora una volta a chiunque si fa circoncidere che egli è obbligato ad osservare tutta quanta la legge
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
mimi nasema yale aliyonionyesha baba, lakini ninyi mwafanya yale aliyowaambieni baba yenu."
io dico quello che ho visto presso il padre; anche voi dunque fate quello che avete ascoltato dal padre vostro!»
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
Warning: Contains invisible HTML formatting
je, nasema mambo haya kibinadamu tu? je, sheria nayo haisemi hivyo?
io non dico questo da un punto di vista umano; è la legge che dice così
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
si kwamba mimi nautegemea ushahidi wa wanadamu, lakini nasema mambo haya ili mpate kuokolewa.
io non ricevo testimonianza da un uomo; ma vi dico queste cose perché possiate salvarvi
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
basi, nasema hivi: mwenendo wenu na uongozwe na roho, nanyi hamtafuata tena tamaa za kidunia.
vi dico dunque: camminate secondo lo spirito e non sarete portati a soddisfare i desideri della carne
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
ninachosema sasa si kile alichoniagiza bwana; kuhusu jambo hili la kujivuna, nasema tu kama mtu mpumbavu.
quello che dico, però, non lo dico secondo il signore, ma come da stolto, nella fiducia che ho di potermi vantare
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
basi, nasema hivi: mrithi, akiwa bado mtoto, hawi tofauti na mtumwa ingawaje mali yote ni yake.
ecco, io faccio un altro esempio: per tutto il tempo che l'erede è fanciullo, non è per nulla differente da uno schiavo, pure essendo padrone di tutto
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
nasema ukweli mtupu; nimeungana na kristo nami sisemi uongo. dhamiri yangu ikiongozwa na roho mtakatifu inanithibitishia jambo hili pia.
dico la verità in cristo, non mentisco, e la mia coscienza me ne dà testimonianza nello spirito santo
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
kwa sababu hiyo mimi nilitumwa niwe mtume na mwalimu wa watu wa mataifa, niutangaze ujumbe wa imani na ukweli. nasema ukweli; sisemi uongo!
e di essa io sono stato fatto banditore e apostolo - dico la verità, non mentisco -, maestro dei pagani nella fede e nella verità
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
profesa wa falsafa wa chuo kikuu cha mcgill, arash abizadeh, hataki kuhimiza kufunguliwa kwa mipaka, hata hivyo nasema kuwa mfumo uliopo wa mipaka hauwezi kuhalalishwa kwa mantiki ya uwazi ya kiliberali.
arash abizadeh, professore di filosofia all'università mcgill, non appoggia l'apertura delle frontiere, però afferma che il sistema di confini attuale non può essere giustificato da una logica liberale ugualitaria.
Last Update: 2016-02-24
Usage Frequency: 1
Quality:
basi, yesu akawaambia, "mtakapokwisha mwinua mwana wa mtu hapo ndipo mtakapojua kwamba mimi ndimi, na kwamba sifanyi chochote mimi mwenyewe, ila nasema tu yale baba aliyonifundisha.
disse allora gesù: «quando avrete innalzato il figlio dell'uomo, allora saprete che io sono e non faccio nulla da me stesso, ma come mi ha insegnato il padre, così io parlo
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
Warning: Contains invisible HTML formatting
nilikwisha sema, na kama ilivyokuwa safari ya pili, sasa nasema tena nikiwa mbali: wale wote waliotenda uovu bila kutubu, na pia wale wengine, nitakapokuja, watakiona cha mtema kuni.
l'ho detto prima e lo ripeto ora, allora presente per la seconda volta e ora assente, a tutti quelli che hanno peccato e a tutti gli altri: quando verrò di nuovo non perdonerò più
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
mtu akimwona ndugu yake ametenda dhambi isiyompeleka kwenye kifo anapaswa kumwombea kwa mungu, naye mungu atampatia uzima. nasema jambo hili kuhusu wale waliotenda dhambi ambazo si za kifo. lakini ipo dhambi yenye kumpeleka mtu kwenye kifo nami sisemi kwamba mnapaswa kumwomba mungu kwa ajili ya hiyo.
se uno vede il proprio fratello commettere un peccato che non conduce alla morte, preghi, e dio gli darà la vita; s'intende a coloro che commettono un peccato che non conduce alla morte: c'è infatti un peccato che conduce alla morte; per questo dico di non pregare
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
kwa hiyo mkaribishane, kama vile kristo pia alivyotukaribisha sisi, kwa kusudi la kumpa mungu utukufu. kwa maana nasema kwamba kwa kweli kristo alikuwa mhudumu wa wale waliotahiriwa kwa ajili ya ukweli wa mungu, ili kuthibitisha ahadi ambazo yeye aliwapa mababu zao, na kwamba mataifa yamtukuze mungu kwa ajili ya rehema yake. kama ilivyoandikwa: “ndiyo sababu nitakukiri wewe waziwazi kati ya mataifa nami nitalipigia jina lako muziki.” naye anasema tena: “furahini, enyi mataifa, pamoja na watu wake.” na tena: “msifuni yehova, enyi mataifa yote, na vikundi vyote vya watu vimsifu yeye.” na tena isaya anasema: “patakuwa na mzizi wa yese, na patakuwa na mmoja ambaye atasimama ili kutawala mataifa; na mataifa yatamtumainia yeye.” mungu anayetoa tumaini na awajaze ninyi shangwe yote na amani kwa kuamini kwenu, ili mzidi katika tumaini kwa nguvu za roho takatifu.
perciò accoglietevi gli uni gli altri, come anche il cristo accolse noi, in vista della gloria di dio. poiché dico che cristo divenne effettivamente ministro di quelli che sono circoncisi a favore della veracità di dio, per confermare le promesse che egli aveva fatto ai loro antenati, e affinché le nazioni glorifichino dio per la sua misericordia. come è scritto: “per questo ti riconoscerò apertamente fra le nazioni e innalzerò melodie al tuo nome. e di nuovo dice: “rallegratevi, nazioni, col suo popolo”. e di nuovo: “lodate geova, nazioni tutte, e tutti i popoli lo lodino”. e di nuovo isaia dice: “ci sarà la radice di iesse, e uno che sorgerà per governare le nazioni; in lui le nazioni riporranno la loro speranza”. l’iddio che dà speranza vi riempia di ogni gioia e pace mediante il vostro credere, affinché abbondiate nella speranza col potere dello spirito santo.