Trying to learn how to translate from the human translation examples.
From professional translators, enterprises, web pages and freely available translation repositories.
"lakini, tazameni! yule atakayenisaliti yuko nami hapa mezani.
verumtamen ecce manus tradentis me mecum est in mens
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
Warning: Contains invisible HTML formatting
kulipokuwa jioni, yesu akakaa mezani pamoja na wanafunzi wake kumi na wawili.
vespere autem facto discumbebat cum duodecim discipuli
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
lakini hakuna hata mmoja wa wale waliokaa pale mezani aliyefahamu kwa nini alikuwa amemwambia hivyo.
hoc autem nemo scivit discumbentium ad quid dixerit e
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
basi, yesu aliondoka mezani, akaweka kando vazi lake, akachukua kitambaa na kujifunga kiunoni.
surgit a cena et ponit vestimenta sua et cum accepisset linteum praecinxit s
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
na hapo wale waliokuwa pamoja naye mezani wakaulizana, "ni mtu wa namna gani huyu awezaye kusamehe dhambi?"
et coeperunt qui simul accumbebant dicere intra se quis est hic qui etiam peccata dimitti
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
Warning: Contains invisible HTML formatting
mtakula na kunywa mezani pangu katika ufalme wangu, na mtaketi katika viti vya enzi kuyahukumu makabila kumi na mawili ya israeli.
ut edatis et bibatis super mensam meam in regno et sedeatis super thronos iudicantes duodecim tribus israhe
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
mama mmoja aliyekuwa na chupa ya alabasta yenye marashi ya thamani kubwa, alimjia pale mezani alipokuwa amekaa kula chakula, akammiminia hayo marashi kichwani.
accessit ad eum mulier habens alabastrum unguenti pretiosi et effudit super caput ipsius recumbenti
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
basi, yesu na wanafunzi wake walikuwa mezani kwa chakula cha jioni. ibilisi alikwisha mtia yuda, mwana wa simoni iskarioti, nia ya kumsaliti yesu.
et cena facta cum diabolus iam misisset in corde ut traderet eum iudas simonis scarioti
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
mwishowe, yesu aliwatokea wanafunzi kumi na mmoja walipokuwa pamoja mezani. akawakemea sana kwa sababu ya kutoamini kwao na ukaidi wao, maana hawakuwaamini wale waliokuwa wamemwona baada ya kufufuka.
novissime recumbentibus illis undecim apparuit et exprobravit incredulitatem illorum et duritiam cordis quia his qui viderant eum resurrexisse non credideran
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
baadaye, yesu alikuwa amekaa mezani, nyumbani kwa lawi, kula chakula. watoza ushuru wengi na wenye dhambi walikuwa wamemfuata yesu na wengi wao wakawa wamekaa mezani pamoja naye na wanafunzi wake.
et factum est cum accumberet in domo illius multi publicani et peccatores simul discumbebant cum iesu et discipulis eius erant enim multi qui et sequebantur eu
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
yesu alikuwa bethania, nyumbani kwa simoni, mkoma. alipokuwa mezani kula chakula, mama mmoja aliyekuwa na chupa ya alabasta yenye marashi ya nardo safi ya thamani kubwa alikuja, akaivunja hiyo chupa, akammiminia yesu marashi hayo kichwani.
et cum esset bethaniae in domo simonis leprosi et recumberet venit mulier habens alabastrum unguenti nardi spicati pretiosi et fracto alabastro effudit super caput eiu
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality: