From professional translators, enterprises, web pages and freely available translation repositories.
yosefu pia alifanya safari kutoka mjini nazareti mkoani galilaya. kwa kuwa alikuwa wa jamaa na ukoo wa daudi alikwenda mjini bethlehemu mkoani yuda alikozaliwa mfalme daudi.
taip pat ir juozapas ėjo iš galilėjos miesto nazareto į judėją, į dovydo miestą, vadinamą betliejumi, nes buvo kilęs iš dovydo namų ir giminės.
maandiko matakatifu yasemaje? yanasema: kristo atatoka katika ukoo wa daudi, na atazaliwa bethlehemu, mji wa daudi!"
argi raštas nesako, jog kristus ateis iš dovydo palikuonių, iš betliejaus miestelio, iš kur kilo dovydas?”
kisha akawatuma bethlehemu akisema, "nendeni mkachunguze kwa makini habari za mtoto huyo. mkisha mpata nileteeni habari ili nami niende nikamwabudu."
ir, siųsdamas į betliejų, tarė: “keliaukite ir viską kruopščiai sužinokite apie kūdikį. radę praneškite man, kad ir aš nuvykęs jį pagarbinčiau”.
baada ya hao malaika kuondoka na kurudi mbinguni, wachungaji wakaambiana: "twendeni moja kwa moja mpaka bethlehemu tukalione tukio hili bwana alilotujulisha."
kai angelai nuo jų pakilo į dangų, piemenys kalbėjosi: “eikime į betliejų ir pažiūrėkime, kas ten įvyko, ką viešpats mums paskelbė”.
herode alipogundua kwamba wale wataalamu wa nyota walikuwa wamemhadaa, alikasirika sana. akaamuru watoto wote wa kiume mjini bethlehemu na kandokando yake wenye umri wa miaka miwili na chini yake wauawe. alifanya hivyo kufuatana na muda aliopata kujua kutoka kwa wale wataalamu wa nyota.
erodas, pamatęs, kad jį išminčiai apgavo, baisiai įniršo ir pasiuntė išžudyti betliejuje ir jo apylinkėse visus berniukus, dvejų metų ir jaunesnius, pagal laiką, kurį buvo patyręs iš išminčių.