Von professionellen Übersetzern, Unternehmen, Websites und kostenlos verfügbaren Übersetzungsdatenbanken.
kisha malaika wa sita akamwaga bakuli lake juu ya mto mkubwa uitwao eufrate. maji yake yakakauka, na hivyo njia ilitengenezwa kwa ajili ya wafalme wa mashariki.
第 六 位 天 使 把 碗 倒 在 伯 拉 大 河 上 、 河 水 就 乾 了 、 要 給 那 從 日 出 之 地 所 來 的 眾 王 豫 備 道 路
kila upande ulikuwa na milango mitatu: upande wa mashariki, milango mitatu, kaskazini milango mitatu, kusini milango mitatu na magharibi milango mitatu.
東 邊 有 三 門 . 北 邊 有 三 門 . 南 邊 有 三 門 . 西 邊 有 三 門
wakauliza, "yuko wapi mtoto, mfalme wa wayahudi, aliyezaliwa? tumeiona nyota yake ilipotokea mashariki, tukaja kumwabudu."
那 生 下 來 作 猶 太 人 之 王 的 在 那 裡 。 我 們 在 東 方 看 見 他 的 星 、 特 來 拜 他
na tukawarithisha watu walio kuwa wanadharauliwa mashariki na magharibi ya ardhi tuliyo ibariki. na likatimia neno jema la mola mlezi wako juu ya wana wa israili, kwa vile walivyo subiri. na tukayaangamiza aliyo kuwa akiyafanya firauni na kaumu yake, na waliyo kuwa wakiyajenga.
我使被欺負的民眾,繼承了我曾降福其中的土地的四境。以色列的後裔,能忍受虐待,故你的主對他們的最佳諾言已完全實現了;我毀滅了法老和他的百姓所構造的,和他們所建築的。
hukumwona yule aliye hojiana na ibrahim juu ya mola wake mlezi kwa sababu mwenyezi mungu alimpa ufalme? ibrahim alipo sema: mola wangu ni yule ambaye huhuisha na kufisha. yeye akasema: mimi pia nahuisha na kufisha. ibrahim akasema: mwenyezi mungu hulichomozesha jua mashariki, basi wewe lichomozeshe magharibi. akafedheheka yule aliye kufuru; na mwenyezi mungu hawaongoi watu madhaalimu.
难道你没有看见那个人吗?真主把国权赏赐他,故他与易卜拉欣争论他的主。当时,易卜拉欣说:我的主能使死者生,能使生者死。他说:我也能使死者生,能使生者死。易卜拉欣说:真主的确能使太阳从东方升起,你使它从西方升起吧。那个不信道的人,就哑口无言了。真主不引导不义的民众。