Versucht aus den Beispielen menschlicher Übersetzungen das Übersetzen zu lernen.
Von professionellen Übersetzern, Unternehmen, Websites und kostenlos verfügbaren Übersetzungsdatenbanken.
rais michael sata akisemekana kuhutubia kikao cha baraza la mawaziri mara aliporudi kutoka israel alikokuwa amelazwa hospitali.
president michael sata reportedly addressing a cabinet meeting upon his return from israel where he was admitted to a hospital.
Letzte Aktualisierung: 2016-02-24
Nutzungshäufigkeit: 1
Qualität:
tovuti ya zambian watchdog ilitoboa siri hiyo, ikiripoti kuwa rais alikuwa amewasili nchini israel na alikuwa amelazwa hospitali.
the website zambian watchdog exposed the trip, reporting that the president had arrived in israel and was admitted to a hospital.
Letzte Aktualisierung: 2016-02-24
Nutzungshäufigkeit: 1
Qualität:
mwanahabari mwingine kondwani munthali alizipinga ripoti kuwa mutharika alikuwa amelazwa kwenye hospitali ya milpark huko afrika kusini:
another journalist kondwani munthali refuted reports that mutharika was admitted at milpark hospital in south africa:
Letzte Aktualisierung: 2016-02-24
Nutzungshäufigkeit: 1
Qualität:
na hiki kitakuwa kitambulisho kwenu: mtamkuta mtoto mchanga amevikwa nguo za kitoto, amelazwa horini."
and this shall be a sign unto you; ye shall find the babe wrapped in swaddling clothes, lying in a manger.
Letzte Aktualisierung: 2012-05-06
Nutzungshäufigkeit: 1
Qualität:
Warnung: Enthält unsichtbare HTML-Formatierung
wakati mwanawasa akiwa amelazwa hospitali, makamu wake lupando mwape, aliwaambia waandishi wa habari kwamba rais walikuwa anafanya mazoezi ya viungo jijini london.
while mwanawasa was in a hospital bed, his vice president, lupando mwape, famously told the media that the president was jogging in london.
Letzte Aktualisierung: 2016-02-24
Nutzungshäufigkeit: 1
Qualität:
mwaka huo huo, virusi vya hcov-hku1 vilitolewa kutoka kwa mwanaume wa miaka 71-ambaye alikuwa amelazwa hospitalini akiwa ameugua ugonjwa wa nimonia na kuziba kwa njia za hewa kwenye mapafu kule hong kong.
in the same year, hcov-hku1 was isolated from a 71-year-old man who had been hospitalized with pneumonia and bronchiolitis in hong kong.
Letzte Aktualisierung: 2020-08-25
Nutzungshäufigkeit: 1
Qualität:
hapo watu walimletea mtu mmoja aliyepooza mwili, amelazwa juu ya kitanda. yesu alipoona imani yao, akamwambia huyo mtu aliyepooza, "jipe moyo mwanangu! umesamehewa dhambi zako."
and, behold, they brought to him a man sick of the palsy, lying on a bed: and jesus seeing their faith said unto the sick of the palsy; son, be of good cheer; thy sins be forgiven thee.
Letzte Aktualisierung: 2012-05-06
Nutzungshäufigkeit: 1
Qualität:
Warnung: Enthält unsichtbare HTML-Formatierung