Von professionellen Übersetzern, Unternehmen, Websites und kostenlos verfügbaren Übersetzungsdatenbanken.
mwana wa simeoni, mwana wa yuda, mwana wa yosefu, mwana wa yonamu, mwana wa eliakimu,
which was the son of simeon, which was the son of juda, which was the son of joseph, which was the son of jonan, which was the son of eliakim,
kabila la simeoni, kumi na mbili elfu, kabila la lawi, kumi na mbili elfu, kabila la isakari, kumi na mbili elfu;
of the tribe of simeon were sealed twelve thousand. of the tribe of levi were sealed twelve thousand. of the tribe of issachar were sealed twelve thousand.
wakati huo huko yerusalemu kulikuwa na mtu mmoja, mwema na mcha mungu, jina lake simeoni. yeye alikuwa akitazamia kwa hamu ukombozi wa israeli. roho mtakatifu alikuwa pamoja naye.
and, behold, there was a man in jerusalem, whose name was simeon; and the same man was just and devout, waiting for the consolation of israel: and the holy ghost was upon him.
simeoni akawabariki, akamwambia maria mama yake, "mtoto huyu atakuwa sababu ya kupotea na kuokoka kwa watu wengi katika israeli. naye atakuwa ishara itakayopingwa na watu;
and simeon blessed them, and said unto mary his mother, behold, this child is set for the fall and rising again of many in israel; and for a sign which shall be spoken against;