Von professionellen Übersetzern, Unternehmen, Websites und kostenlos verfügbaren Übersetzungsdatenbanken.
jihadharini na watu, maana watawapeleka ninyi mahakamani na kuwapiga viboko katika masunagogi yao.
but beware of men: for they will deliver you up to the councils, and they will scourge you in their synagogues;
kundi la watu likajiunga nao, likawashambulia. wale mahakimu wakawatatulia paulo na sila mavazi yao, wakaamuru wapigwe viboko.
and the multitude rose up together against them: and the magistrates rent off their clothes, and commanded to beat them.
hivyo wakawaita wale mitume, wakaamuru wachapwe viboko na kuwaonya wasifundishe tena kwa jina la yesu; kisha wakawaacha waende zao.
and to him they agreed: and when they had called the apostles, and beaten them, they commanded that they should not speak in the name of jesus, and let them go.
watamkabidhi kwa watu wa mataifa mengine ili adhihakiwe, apigwe viboko na kusulubiwa; lakini siku ya tatu atafufuliwa."
and shall deliver him to the gentiles to mock, and to scourge, and to crucify him: and the third day he shall rise again.
pilato alitaka kuuridhisha huo umati wa watu; basi, akamwachilia baraba kutoka gerezani. akaamuru yesu apigwe viboko, kisha akamtoa asulubiwe.
and so pilate, willing to content the people, released barabbas unto them, and delivered jesus, when he had scourged him, to be crucified.
lakini walipokwisha mfunga ili wamchape viboko, paulo alimwuliza jemadari mmoja aliyesimama hapo, "je, ni halali kwenu kumpiga viboko raia wa roma kabla hajahukumiwa?"
and as they bound him with thongs, paul said unto the centurion that stood by, is it lawful for you to scourge a man that is a roman, and uncondemned?
pilato akawaambia mara ya tatu, "amefanya kosa gani? sioni kosa lolote kwake linalomstahili auawe; kwa hiyo nitampiga viboko, halafu nimwachilie."
and he said unto them the third time, why, what evil hath he done? i have found no cause of death in him: i will therefore chastise him, and let him go.
baadaye, basi la shule lilikwenda kwenye ziwa dogo kuona viboko. lakini basi lilikwama kwenye matope! hatukuweza kusonga mbele na hatukuweza kushuka kwenye basi! "bila shaka! hippos inaweza kuwa mifugo, lakini bado ni wanyama pori na hatari." momo aliongezea. kwa hivyo ni dereva tu aliyeshuka kwenye basi na kwenda kupata msaada. alipokuwa anachelewa kurudi, momo na lolotte, walimu na wanafunzi wa darasa la nne walianza kuwa na wasiwasi
afterwards, the school bus went to a small lake to see some hippos. but the bus got stuck in the mud! we couldn't move forward and we couldn't get off the bus! "of course! hippos may be herbivores, but they are still wild and dangerous animals." momo added. so only the driver got out of the bus to go get help. as he was slow to return, momo and lolotte, the teachers and the fourth grade students started to worry.
Letzte Aktualisierung: 2022-04-10
Nutzungshäufigkeit: 1
Qualität:
Referenz:
Warnung: Enthält unsichtbare HTML-Formatierung