Von professionellen Übersetzern, Unternehmen, Websites und kostenlos verfügbaren Übersetzungsdatenbanken.
wanasheria wanaokiwakilisha chama cha npp hapo awali walifungua kesi katika mahakama kuu tarehe 28 desemba, 2012.
les avocats représentant le npp ont officiellement déposé une requête à la cour suprême le 28 décembre 2012.
-baraza la kijeshi limetishia kuvunja bunge kwa kukata rufaa katika mahakama kuu ya katiba.
- le csfa a menacé de dissoudre le parlement en faisant appel contre le président de la cour constitutionnelle suprême.
besigye aachiwa: kiongozi wa fdc dk kiiza besigye ameachiwa kwa dhamana ya mahakama ya shilingi milioni 5.
@smsmediauganda: besigye relâché: le dirigeant du fdc dr kiiza besigye a été libéré sous caution du tribunal de 5m.
inatarajiwa kwamba atakuwa amehamishiwa kwenye makao makuu ya mahakama ya kiraia kwenye eneo la jeshi la polisi huko al qaboun.
on pense qu'il a été transféré au quartier général du tribunal civil de la police militaire dans le quartier de al qaboun.
ninawashauri watafiti waende mahakama kuu na mahakama ya familia na wafahamu fika matatizo ya familia na unyumba kwanza kabla ya kuanza kampeni hii.
je conseille aux chercheurs de se rendre à la haute cour et au tribunal des affaires familiales de singapour afin de comprendre clairement les problèmes familiaux et domestiques, avant de s'embarquer dans cette campagne.
b.joe anaona kwamba haki za watoto na vijana chini ya umri wa miaka 18 hazifuatwi na mahakama ya syariah pamoja na wazazi wa msichana huyo.
b. joe pense que les droits des enfants et des mineurs ne sont respectés ni par la cour appliquant la charia, ni par les parents de la jeune fille.
jana, oktoba 25, wafungwa wanne wa gereza la mapuche waliamua kusitisha kususia kula mara baada ya mahakama kuu ya chile kukubaliana na baadhi ya matakwa yao.
le 25 octobre 2012, les quatre prisonniers mapuches ont décidé d'abandonner leur mouvement de protestation après que la cour suprême du chili a accepté certaines de leurs revendications .
mahakama itatoa hukumu ya madai hayo kesho, mei 7, 2014, na yingluck anaweza kuong'olewa madarakani kama atapatikana na hatia.
le tribunal doit statuer sur ces accusations demain le 7 mai 2014 et yingluck pourrait être contrainte à quitter le pouvoir si elle est jugée coupable.
alihukumiwa na mahakama ya kimataifa ya makosa ya jinai mnamo tarehe 5 februari 2013 kutumikia kifungo cha maisha akiwa gerezani kwa makosa 334 ya mauaji, kubaka pamoja na uchomaji moto wa vitu mbalimbali.
le 5 février 2013, ce dernier a été condamné à l'emprisonnement à perpétuité suite aux 344 charges qui pèsent sur lui pour meurtre, viol et incendie par le tribunal pénal international du bangladesh.