Von professionellen Übersetzern, Unternehmen, Websites und kostenlos verfügbaren Übersetzungsdatenbanken.
watu wengine ni kama wale walio njiani ambapo mbegu zilianguka. hawa hulisikia hilo neno lakini mara shetani huja na kuliondoa neno hilo lililopandwa ndani yao.
ואלה הם הנזרעים על יד הדרך אשר יזרע בם הדבר וכשמעם אותו מיד בא השטן וישא את הדבר הזרוע בלבבם׃
kama shetani anajipinga mwenyewe, utawala wake utasimamaje? mnasemaje, basi, kwamba ninawafukuza pepo kwa uwezo wa beelzebuli?
וגם השטן אם נחלק על עצמו איככה תכון ממלכתו כי אמרתם שבבעל זבוב מגרש אני את השדים׃
sasa, hapa yupo binti wa abrahamu ambaye shetani alimfanya kilema kwa muda wa miaka kumi na minane. je, haikuwa vizuri kumfungulia vifungo vyake siku ya sabato?"
וזאת אשר היא בת אברהם ואשר השטן אסרה זה שמנה עשרה שנה הלא תתר ממוסרותיה ביום השבת׃
hapo, yesu akamwambia, "nenda zako shetani! imeandikwa: utamwabudu bwana mungu wako na kumtumikia yeye peke yake."
ויאמר אליו ישוע סור ממני השטן כי כתוב ליהוה אלהיך תשתחוה ואותו לבדו תעבד׃
msinyimane haki zenu, isipokuwa kama mnaafikiana kufanya hivyo kwa kitambo tu, ili mpate nafasi nzuri ya kusali. kisha rudianeni tena mara, ili shetani asije akawajaribu kwa sababu ya udhaifu wenu.
אל תמנעו את עצמכם זה מזה זולתי בהסכמת שניכם על זמן קבוע להיות פנוים לתענית ולתפלה ותשובו ותתאחדו פן ינסה אתכם השטן בעבור פריצות יצרכם׃
lakini yesu akageuka, akamwambia petro, "ondoka mbele yangu shetani! wewe ni kikwazo kwangu. mawazo yako si ya mungu bali ni ya kibinadamu!"
ויפן ויאמר לפטרוס סור מעלי השטן למכשול אתה לי כי אין לבך לדברי אלהים כי אם לדברי בני אדם׃
basi, atatoka nje, ataanza kuyapotosha mataifa yote yaliyotawanyika kila mahali duniani, yaani gogu na magogu. shetani atawakusanya pamoja kwa ajili ya vita; nao watakuwa wengi kama mchanga wa pwani.
ויצא להדיח את הגוים בארבע כנפות הארץ את גוג ומגוג ולקבצם למלחמה אשר מספרם כחול הים׃
utayafumbua macho yao na kuwawezesha watoke gizani na kuingia katika mwanga; watoke katika utawala wa shetani, wamgeukie mungu; ili kwa kuamini, wapate kusamehewa dhambi na kuchukua nafasi yao kati ya wale ambao wamepata kuwa watu wa mungu.
לפקח את עיניהם למען ישובו מחשך לאור ומיד השטן אל האלהים וימצאו באמונתם בי את סליחת החטאים ואת הנחלה בתוך המקדשים׃