Von professionellen Übersetzern, Unternehmen, Websites und kostenlos verfügbaren Übersetzungsdatenbanken.
akakaripiwa kwa ajili ya uovu wake. punda ambaye hasemi alinena kwa sauti ya binadamu, akaukomesha wazimu wa huyo nabii.
bet saņēma pamācību par savu ārprātu: mēms nastu nesējs lops, runādams cilvēka valodā, aizkavēja pravieša neprātību.
na tukisema yalitoka kwa binadamu, watu wote hapa watatupiga mawe, maana wote wanaamini kwamba yohane alikuwa nabii."
bet ja mēs teiksim: no cilvēkiem, tad visa tauta mūs nomētās akmeņiem, jo viņa pārliecināta, ka jānis ir pravietis.
yeye hutoa huduma ya kuhani mkuu katika mahali patakatifu sana, yaani ndani ya ile hema ya kweli iliyojengwa na bwana, siyo na binadamu.
būdams svētnīcas un īstās telts kalpotājs. to uzcēlis kungs, bet ne cilvēks.
yesu akasema, "heri wewe simoni mwana wa yona, kwa maana si binadamu aliyekufunulia ukweli huu, ila baba yangu aliye mbinguni.
bet jēzus atbildēja un sacīja viņam: svētīgs tu esi, sīmani, jonas dēls, jo miesa un asins tev to neatklāja, bet mans tēvs, kas debesīs.
kwa njia ya mtu mmoja dhambi iliingia ulimwenguni, nayo ikasababisha kifo. hivyo kifo kimeenea katika jumuiya yote ya binadamu, kwa maana wote wametenda dhambi.
tāpēc, kā caur vienu cilvēku pasaulē nācis grēks un ar grēku - nāve, tā nāve pārgāja uz visiem cilvēkiem, jo visi viņā grēkojuši.
kama maandiko yasemavyo: "kila binadamu ni kama nyasi, na utukufu wake wote ni kama maua ya porini. nyasi hunyauka na maua huanguka.
jo katra miesa ir kā zāle, bet katra tās godība kā zāles zieds. nokalta zāle, un tās zieds nokrita.
yesu akawatazama, akawaambia, "kwa binadamu haiwezekani, lakini kwa mungu si hivyo, maana kwa mungu mambo yote huwezekana."
un jēzus, viņus uzlūkodams, sacīja: tas nav iespējams cilvēkiem, bet ne dievam, jo dievam viss ir iespējams. (mt.19,26)
majaribu mliyokwisha pata ni ya kawaida kwa binadamu. mungu ni mwaminifu, naye hataruhusu mjaribiwe kupita nguvu zenu, ila pamoja na majaribu, yeye atawapeni pia nguvu ya kustahimili na njia ya kutoka humo salama.
kārdinājumi lai jums neuzbrūk, izņemot cilvēcīgos! bet dievs ir uzticīgs. viņš neļaus jūs kārdināt pāri jūsu spējām, bet reizē ar kārdinājumu dos izturību, lai jūs varētu pastāvēt.
kama mnaitimiza ile sheria ya utawala kama ilivyoandikwa katika maandiko matakatifu: "mpende binadamu mwenzako kama unavyojipenda wewe mwenyewe", mtakuwa mnafanya vema kabisa.
bet ja jūs pildāt rakstu ķēnišķo likumu: mīli savu tuvāko kā sevi pašu, tad jūs labi darāt.
sasa nataka kibali cha nani: cha binadamu, ama cha mungu? au je, nataka kuwapendeza watu? kama ningefanya hivyo, mimi singekuwa kamwe mtumishi wa kristo.
vai es meklēju cilvēku vai dieva labvēlību? vai es cenšos cilvēkiem izpatikt? ja es arī tagad cilvēkiem izpatiktu, tad es nebūtu kristus kalps.
lakini, ni kama yasemavyo maandiko matakatifu: "mambo ambayo jicho halijapata kuyaona wala sikio kuyasikia, mambo ambayo binadamu hajapata kuyafikiria moyoni, hayo ndiyo mungu aliyowatayarishia wale wampendao."
bet tā ir, kā rakstīts: ko acs nav redzējusi ne auss dzirdējusi, ne cilvēka sirdī nācis, to dievs sagatavojis tiem, kas viņu mīl.