Results for sadducees translation from English to Swahili

Human contributions

From professional translators, enterprises, web pages and freely available translation repositories.

Add a translation

English

Swahili

Info

English

sadducees

Swahili

masadukayo

Last Update: 2012-11-23
Usage Frequency: 1
Quality:

Reference: Wikipedia

English

but when the pharisees had heard that he had put the sadducees to silence, they were gathered together.

Swahili

mafarisayo waliposikia kwamba yesu alikuwa amewanyamazisha masadukayo, wakakutana pamoja.

Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:

Reference: Wikipedia

English

the pharisees also with the sadducees came, and tempting desired him that he would shew them a sign from heaven.

Swahili

mafarisayo na masadukayo walimwendea yesu, na kwa kumjaribu, wakamwomba afanye ishara itokayo mbinguni.

Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:

Reference: Wikipedia

English

then came to him certain of the sadducees, which deny that there is any resurrection; and they asked him,

Swahili

kisha masadukayo, ambao husema kwamba wafu hawafufuki, wakamjia yesu, wakasema:

Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:

Reference: Wikipedia

English

and as they spake unto the people, the priests, and the captain of the temple, and the sadducees, came upon them,

Swahili

petro na yohane walipokuwa bado wanawahutubia watu, makuhani na mkuu wa walinzi wa hekalu pamoja na masadukayo walifika.

Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:

Reference: Wikipedia

English

but when he saw many of the pharisees and sadducees come to his baptism, he said unto them, o generation of vipers, who hath warned you to flee from the wrath to come?

Swahili

lakini alipowaona mafarisayo wengi na masadukayo wanamjia ili awabatize, aliwaambia, "enyi kizazi cha nyoka! ni nani aliyewadokezea kwamba mnaweza kuiepuka ghadhabu inayokuja?

Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:

Reference: Wikipedia
Warning: Contains invisible HTML formatting

English

then the high priest - rose - up, and all they that were with him, (which is the sect of the sadducees,) and were filled with indignation,

Swahili

kisha, kuhani mkuu na wenzake waliokuwa wa kikundi cha masadukayo wa mahali hapo, wakawaonea mitume wivu.

Last Update: 2013-01-10
Usage Frequency: 1
Quality:

Reference: Wikipedia

English

but when paul perceived that the one part were sadducees, and the other pharisees, he cried out in the council, men and brethren, i am a pharisee, the son of a pharisee: of the hope and resurrection of the dead i am called in question.

Swahili

wakati huo paulo alikwisha tambua kwamba sehemu moja ya wanabaraza wale ilikuwa ni masadukayo na nyingine mafarisayo. basi, alipaaza sauti yake mbele ya baraza: "ndugu zangu, mimi ni mfarisayo, mwana wa mfarisayo. mimi nimeletwa mahakamani kwa kuwa ninatumaini kwamba wafu watafufuka."

Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:

Reference: Wikipedia
Warning: Contains invisible HTML formatting

Get a better translation with
7,724,345,658 human contributions

Users are now asking for help:



We use cookies to enhance your experience. By continuing to visit this site you agree to our use of cookies. Learn more. OK