Trying to learn how to translate from the human translation examples.
From professional translators, enterprises, web pages and freely available translation repositories.
nel 2006, tre ministri hanno perso le loro cariche dopo la segnalazione di un loro coinvolgimento in appropriazione di fondi appartenenti al settore sanitario.
mwaka 2006, mawaziri watatu walipoteza nyadhifa zao baada ya kuripotiwa kuwa walihusishwa na ufujaji wa fedha katika idara ya afya.
Last Update: 2016-02-24
Usage Frequency: 1
Quality:
poiché per l’immeritata benignità datami dico a ognuno che è fra voi di non pensare di sé più di quanto sia necessario pensare; ma di pensare in modo da avere una mente sana, ciascuno secondo la misura di fede che dio gli ha distribuito. poiché come in un solo corpo abbiamo molte membra, ma le membra non hanno tutte la stessa funzione, così noi, benché molti, siamo un solo corpo, uniti a cristo, ma membri appartenenti individualmente gli uni agli altri. siccome abbiamo dunque doni diversi secondo l’immeritata benignità dataci, se profezia, profetizziamo secondo la fede impartitaci; se ministero, dedichiamoci a questo ministero; chi insegna, si dedichi al suo insegnamento; chi esorta, si dedichi alla sua esortazione; chi distribuisce, lo faccia con liberalità; chi presiede, lo faccia con reale premura; chi mostra misericordia, lo faccia con allegrezza.
kwa maana kupitia fadhili zisizostahiliwa nilizopewa namwambia kila mtu hapo kati yenu asijifikirie mwenyewe zaidi kuliko ilivyo lazima kufikiri; bali kufikiri ili awe na akili timamu, kila mmoja kama mungu alivyomgawia kipimo cha imani. kwa maana kama vile tulivyo na viungo vingi katika mwili mmoja, lakini viungo hivyo havifanyi kazi ileile, ndivyo sisi, ingawa tuko wengi, ni mwili mmoja katika muungano na kristo, lakini viungo ambavyo kila kimoja ni cha kile kingine. basi, kwa kuwa tuna zawadi zinazotofautiana kulingana na fadhili zisizostahiliwa tulizopewa, kama ni unabii, na tutoe unabii kulingana na imani tuliyogawiwa; au ni huduma, na tuwe katika huduma hii; au yeye anayefundisha, na awe katika kufundisha kwake; au yeye anayehimiza, na awe katika kuhimiza kwake; yeye anayegawa, na afanye hivyo kwa ukarimu; yeye anayesimamia, na afanye hivyo kwa bidii ya kweli; yeye anayeonyesha rehema, na afanye hivyo kwa uchangamfu.
Last Update: 2013-03-07
Usage Frequency: 1
Quality:
Reference: