Trying to learn how to translate from the human translation examples.
From professional translators, enterprises, web pages and freely available translation repositories.
picha na omar mohammed
photo by omar mohammed
Last Update: 2016-02-24
Usage Frequency: 1
Quality:
na mohammed maree anahitimisha:
and mohammed maree concludes:
Last Update: 2016-02-24
Usage Frequency: 1
Quality:
salman ahmed anatuma twiti:
salman ahmed tweets:
Last Update: 2016-02-24
Usage Frequency: 1
Quality:
mohammed zainal yuko katika hali ya kutoamini:
mohammed zainal is in disbelief:
Last Update: 2016-02-24
Usage Frequency: 1
Quality:
mnamo tarehe 3, januari, mohammed aliripoti tena:
on january 3, mohammed reported again:
Last Update: 2016-02-24
Usage Frequency: 1
Quality:
omar mohammed ni mwandishi wa habari mtanzania anayeishi dar es salaam.
omar mohammed is a tanzanian journalist based in dar es salaam.
Last Update: 2016-02-24
Usage Frequency: 1
Quality:
mohammed gusnam alikuwa mmoja wa watu hawa: “ ni vigumu .
mohammed gusnam was one of these people: "it is difficult.
Last Update: 2016-02-24
Usage Frequency: 1
Quality:
Warning: Contains invisible HTML formatting
mohammed jamjoom, ambaye ni mwandishi wa cnn aliamriwa na wizara ya habari kuondoka nchini.
mohammed jamjoom, a reporter for cnn was asked by the ministry of information to leave the country.
Last Update: 2016-02-24
Usage Frequency: 1
Quality:
ali salman alvi alitoa maoni kwamba watetezi wa magaidi wamekuwa wakijaribu kupuuzia kitendo cha kishujaa cha malala:
ali salman alvi comments that the terrorist apologists are trying to belittle malala's act of valour:
Last Update: 2016-02-24
Usage Frequency: 1
Quality:
kupitia twita, mwandishi mwingine wa habari wa zamani wa iol, mohammed, alikuja na taarifa inayosema:
on twitter, mohammed, another former journalist in iol, broke the news saying:
Last Update: 2016-02-24
Usage Frequency: 1
Quality:
baba yangu, mohammed hadi tamimi, aliichezea timu hii mwishoni mwa miaka ya 60 hadi mwanzoni mwa miaka ya 70 wakati huo ikiitwa sunderland.
my father, mohammed hadi tamimi, played for the club in the late 60s and early 70s, when it was known as sunderland.
Last Update: 2016-02-24
Usage Frequency: 1
Quality:
kuna mashaka kuhusu nani atakuwa rais ajaye, kufuatia wagombea wote wa urais ahmed shafiq na mohammed morsi kudai wameshinda duru ya pili ya uchaguzi wa juma lililopita.
there is also uncertainty about the next president, with both presidential candidates ahmed shafiq and mohammed morsi claiming they won last week's run off elections.
Last Update: 2016-02-24
Usage Frequency: 1
Quality:
picha iliyopigwa kutoka kwenye twiti iliyowekwa na mohammed saber, ambaye ni mtangazaji na msimamizi wa matangazo katika televisheni ya misri akisherehekea mauaji ya waumini wa shia waishio misri.
a screenshot of a tweet by mohammed saber, an anchor at an egyptian television celebrating the murder of shia in egypt.
Last Update: 2016-02-24
Usage Frequency: 1
Quality:
mwanablogu mohamed beshir aweka twiti ya mtangazaji wa televisheni ya misri ajulikanaye kwa jina la mohammed saber, ambaye anasherehekea mauaji ya waumini wa shia na kutaka wengine zaidi wa shia wauawe.
blogger mohamed beshir shares a tweet by a presenter at the egyptian television named mohammed saber, who is celebrating the murder of the shia and calling for more deaths.
Last Update: 2016-02-24
Usage Frequency: 1
Quality:
ghasia hizo zililipuka kufuatia kung'olewa madarakani kwa rais wa zamani wa nchi hiyo mohammed morsi, ambaye alikuwa kiogozi wa kundi hilo la muslim brotherhood leader, na kusababisha mamia ya wafuasi huo kupoteza maisha yao.
the riots broke out following a crackdown on sit-ins in support of ousted president mohammed morsi, a muslim brotherhood leader, which left hundreds of supporters dead.
Last Update: 2016-02-24
Usage Frequency: 1
Quality:
chama cha ki-sunni cha tehreek kiliwakusanya wafuasi wake ili kuanzisha mapigano katika harakati za kumtetea muntaz qadri, mtu aliyemuua salman taseer, na pia walishinikiza awekwe huru mjini hyderabad, pakistani.
the sunni tehreek party rally in favor of mumtaz qadri, the killer of salman taseer, and they demand his release in hyderabad, pakistan.
Last Update: 2016-02-24
Usage Frequency: 1
Quality:
syria - homs - 10/19/2012 -uharibifu uliotokana na majeshi ya al assad kutupa mabomu – picha na mohammed ibrahim – mtandao wa habari wa shaam _bar_ muwasilisha habari (39) snn .
syria - homs - 10/19/2012 - destruction as a result of the bombing of al assad forces- photo by mohammed ibrahim - shaam news network _bar_ snn reporter (39).
Last Update: 2016-02-24
Usage Frequency: 3
Quality: