From professional translators, enterprises, web pages and freely available translation repositories.
somalia haijawahi kuwa na serikali kuu inayotawala nchi nzima tangu kuanguka kwa muhammad siad barre mwaka 1991.
somalia has not had a central government controlling the entire country since the fall of muhammad siad barre in 1991.
muhammad ni mtume wa mwenyezi mungu. na walio pamoja naye wana nguvu mbele ya makafiri, na wanahurumiana wao kwa wao.
muhammad (saw) is the messenger of allah, and those who are with him are severe against disbelievers, and merciful among themselves.
alikamatwa sepatemba 12, 2010 kwa mashtaka ya kumkashfu mtume muhammad na kumkufuru mungu kwenye makala alizokuwa anaziweka kwenye blogu yake.
he was arrested on september 12, 2010 on charges of insulting the prophet and enmity towards god in his blog posts.
muhammad si baba wa yeyote katika wanaume wenu, bali ni mtume wa mwenyezi mungu na mwisho wa manabii, na mwenyezi mungu ni mjuzi wa kila kitu.
mohammed (peace and blessings be upon him) is not the father of any man among you – but he is the noble messenger of allah and the last of the prophets*; and allah knows all things. (* prophet mohammed – peace and blessings be upon him – is the last prophet. there can be no new prophet after him).
watu wengi kutoka katika vyombo vya kufanyia maamuzi waliunga mkono maandamano haya, lakini dr. muhammad yunus aliyetunukiwa tuzo ya nobeli hadi sasa bado amekaa kimya.
many people across the board have supported the cause but nobel laureate dr. muhammad yunus is keeping mum so far.
siku hiyo ya ziara ya waziri mkuu, muhammad siddique, mmliki wa gari lililokuwa kwenye foleni alisema mikutano muhimu na safari za watu maarufu zibaki kuwa kwenye maeneo ya kijeshi la jiji hilo.
on the day of the prime minister's visit, muhammad siddique, a car owner stuck in a traffic jam said important meetings and vip movements should be restricted to the high security military cantonment of the city.
abdullah el shamy na muhammad ghafari, ambao ni miongoni mwa wanaogoma, walikuwa wakishughulikia taarifa zinazoingia moja kwa moja, kwa hiyo walikuwa wakituma taarifa hizo moja kwa moja kwenye akaunti zao za twita na kutuma picha za eneo hilo la kazi.
abdullah el shamy and muhammad ghafari, who are among the strikers, were working on the live stream, continuously updating their twitter accounts and posting pictures from the place.
binafsi, sikuwahi kuelewa ni kwa nini wafuasi wengi wa dini yangu wako radhi sana kuuwa au kuwajeruhi hadi kuwaachia ulemavu wa kudumu wale ‘wanaokashifu’ uislamu, nabii muhammad au kurani.
personally, i've never quite understood why so many of my co-religionists are so keen to kill or maim those who 'insult' islam, prophet muhammad or the quran.
der spiegel anamtaja iraqi samir abd muhammad al-khlifawi, aliyeuawa huko tal rifaat in syria mwezi januari 2014, kuwa ndiye "moyo" wa isis, tawi la al qaeda ambalo limekuwa na udhibiti wa nchi kama iraq na syria, wakiacha hofu, vifo na uharibifu sehemu mbalimbali.
der spiegel names iraqi samir abd muhammad al-khlifawi, killed in tal rifaat in syria in january 2014, as the "architect" of the isis, an al qaeda off-shoot which has come to control larges swathes of land in iraq and syria, leaving terror, death and destruction in its trail.