From professional translators, enterprises, web pages and freely available translation repositories.
kutoka huko walisafiri kwa meli wakarudi antiokia ambako hapo awali walikuwa wamewekwa chini ya ulinzi wa neema ya mungu kwa ajili ya kazi ambayo sasa walikuwa wameitimiza.
ומשם באו באניה אל אנטיוכיא אשר נמסרו שם לחסד אלהים על המלאכה אשר מלאו אתה׃
lakini baadhi ya waumini waliotoka kupro na kurene, walikwenda antiokia wakautangaza huo ujumbe kwa watu wa mataifa mengine wakiwahubiria ile habari njema juu ya bwana yesu.
ויהי בתוכם אנשי קפרוס וקוריני אשר באו אל אנטיוכיא וידברו גם אל היונים ויבשרו אתם את האדון ישוע׃
kutokana na mateso yaliyotokea wakati stefano alipouawa, waumini walitawanyika. wengine walikwenda mpaka foinike, kupro na antiokia wakihubiri ule ujumbe kwa wayahudi tu.
והנפוצים מפני הצרה אשר היתה על אודת אסטפנוס הלכו ובאו עד פינוקיא וקפרוס ואנטיוכיא ולא דברו את הדבר כי אם אל היהודים לבדם׃
kule ikonio, mambo yalikuwa kama yalivyokuwa kule antiokia; paulo na barnaba walikwenda katika sunagogi la wayahudi wakaongea kwa uhodari hata wayahudi wengi na wagiriki wakawa waumini.
ויהי באיקניון ויבאו יחדו אל בית כנסת היהודים וידברו שם עד כי האמין המון רב מן היהודים ומן היונים׃
jambo hili lilisababisha ubishi mkubwa, na baada ya paulo na barnaba kujadiliana nao, ikaamuliwa paulo na barnaba pamoja na waumini kadhaa wa lile kanisa la antiokia waende yerusalemu kuwaona wale mitume na wazee kuhusu jambo hilo.
ויהי על זאת ריב ומחלקת לא קלה לפולוס ולבר נבא עמהם ויגזרו כי פולוס ובר נבא ואחרים מהם יעלו ירושלים אל השליחים והזקנים על אדות השאלה הזאת׃
wakawapa barua hii: "sisi mitume na wazee, ndugu zenu, tunawasalimuni ninyi ndugu wa mataifa mengine mlioko huko antiokia, siria na kilikia.
ויכתבו וישלחו על ידם לאמר אנחנו השליחים והזקנים והאחים שאלים לשלום האחים אשר מן הגוים באנטיוכיא ובסוריא ובקיליקיא׃
mitume, wazee na kanisa lote waliamua kuwachagua watu fulani miongoni mwao na kuwatuma antiokia pamoja na paulo na barnaba. basi, wakamchagua yuda aitwaye pia barsaba, na sila ambao wote walikuwa wanajulikana zaidi kati ya ndugu.
וייטב בעיני השליחים והזקנים עם כל הקהל לבחר מהם אנשים ולשלח אתם אל אנטיוכיא עם פולוס ובר נבא את יהודה המכנה בר שבא ואת סילא אנשי שם בין האחים׃
alipompata, alimleta antiokia. nao wote wawili walikaa na lile kanisa kwa mwaka wote mzima wakifundisha kundi kubwa la watu. huko antiokia, ndiko, kwa mara ya kwanza, wafuasi waliitwa wakristo.
ויהיו ישבים יחד בקהלה שנה תמימה ומלמדים עם רב אז הוחל באנטיוכיא לקרא את התלמידים בשם משיחיים׃
jambo hilo likaipendeza jumuiya yote ya waumini. wakawachagua stefano, mtu mwenye imani kubwa na mwenye kujawa na roho mtakatifu, filipo, prokoro, nikanora, timona, parmena na nikolao wa antiokia ambaye hapo awali alikuwa ameongokea dini ya kiyahudi.
וייטב הדבר לפני כל ההמון ויבחרו את אסטפנוס איש מלא אמונה ורוח הקדש ואת פילפוס ואת פרוכורוס ואת ניקנור ואת טימון ואת פרמנס ואת ניקלס גר אנטיוכיא׃