Trying to learn how to translate from the human translation examples.
From professional translators, enterprises, web pages and freely available translation repositories.
karibu na mahali hapo kulikuwa na nguruwe wengi wakichungwa.
erat autem non longe ab illis grex porcorum multorum pascen
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
tangu saa sita mchana mpaka saa tisa kulikuwa giza nchini kote.
et facta hora sexta tenebrae factae sunt per totam terram usque in horam nona
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
katika chumba tulimokuwa, ghorofani, kulikuwa na taa nyingi zinawaka.
erant autem lampades copiosae in cenaculo ubi eramus congregat
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
yesu akaendelea kusema, "kulikuwa na mtu mmoja mwenye wana wawili.
ait autem homo quidam habuit duos filio
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
Warning: Contains invisible HTML formatting
huko yerusalemu kulikuwa na sikukuu ya kutabaruku. wakati huo ulikuwa wa baridi.
facta sunt autem encenia in hierosolymis et hiemps era
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
kulikuwa na kiongozi mmoja myahudi, wa kikundi cha mafarisayo, jina lake nikodemo.
erat autem homo ex pharisaeis nicodemus nomine princeps iudaeoru
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
wakati yesu alipokaribia yeriko, kulikuwa na mtu mmoja kipofu ameketi njiani akiomba.
factum est autem cum adpropinquaret hiericho caecus quidam sedebat secus viam mendican
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
kulikuwa na wagiriki kadhaa miongoni mwa watu waliokuwa wamefika yerusalemu kuabudu wakati wa sikukuu hiyo.
erant autem gentiles quidam ex his qui ascenderant ut adorarent in die fest
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
kwa kupitia amfipoli na apolonia, walisafiri mpaka thesalonika ambako kulikuwa na sunagogi la wayahudi.
cum autem perambulassent amphipolim et apolloniam venerunt thessalonicam ubi erat synagoga iudaeoru
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
na katikati yake kulikuwa na kitu kama mtu, naye alikuwa amevaa kanzu ndefu na ukanda wa dhahabu kifuani.
et in medio septem candelabrorum similem filio hominis vestitum podere et praecinctum ad mamillas zonam aurea
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
kulikuwa na mtu mmoja huko lustra ambaye alikuwa amelemaa miguu tangu kuzaliwa, na alikuwa hajapata kutembea kamwe.
hic audivit paulum loquentem qui intuitus eum et videns quia haberet fidem ut salvus fiere
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
kisha akawaambia mfano: "kulikuwa na tajiri mmoja ambaye shamba lake lilizaa mavuno mengi.
dixit autem similitudinem ad illos dicens hominis cuiusdam divitis uberes fructus ager adtuli
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
Warning: Contains invisible HTML formatting
basi, kulikuwa na mtu mmoja aitwaye baraba, ambaye alikuwa amefungwa pamoja na waasi wengine kwa kusababisha uasi na mauaji.
erat autem qui dicebatur barabbas qui cum seditiosis erat vinctus qui in seditione fecerant homicidiu
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
watumishi na walinzi walikuwa wamewasha moto kwa sababu kulikuwa na baridi, wakawa wanaota moto. naye petro alikuwa amesimama pamoja nao akiota moto.
stabant autem servi et ministri ad prunas quia frigus erat et calefiebant erat autem cum eis et petrus stans et calefaciens s
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
katika mji huohuo, kulikuwa pia na mama mmoja mjane, ambaye alimwendea huyo hakimu mara nyingi akimwomba amtetee apate haki yake kutoka kwa adui yake.
vidua autem quaedam erat in civitate illa et veniebat ad eum dicens vindica me de adversario me
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
basi, kulikuwa na mtu mmoja aitwaye simoni ambaye alikuwa amekwisha fanya uchawi wake katika mji huo kwa muda na kuwashangaza watu wa samaria, akijiona kuwa yeye ni mtu maarufu.
vir autem quidam nomine simon qui ante fuerat in civitate magus seducens gentem samariae dicens esse se aliquem magnu
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
basi, katika mji ule kulikuwa na mama mmoja aliyekuwa anaishi maisha mabaya. alipopata habari kwamba yesu yuko nyumbani kwa huyo mfarisayo, alichukua chupa ya alabasta yenye marashi.
et ecce mulier quae erat in civitate peccatrix ut cognovit quod accubuit in domo pharisaei adtulit alabastrum unguent
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
juu ya hilo sanduku kulikuwa na viumbe vilivyodhihirisha kuweko kwa mungu, na mabawa yao yalitanda juu ya mahali ambapo dhambi huondolewa. lakini sasa, hatuwezi kusema kinaganaga juu ya mambo hayo.
superque eam cherubin gloriae obumbrantia propitiatorium de quibus non est modo dicendum per singul
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
basi, kulikuwa na vizazi kumi na vinne tangu abrahamu mpaka daudi, vizazi kumi na vinne tangu daudi mpaka wayahudi walipochukuliwa mateka babuloni, na vizazi kumi na vinne tangu kuchukuliwa mateka mpaka wakati wa kristo.
omnes ergo generationes ab abraham usque ad david generationes quattuordecim et a david usque ad transmigrationem babylonis generationes quattuordecim et a transmigratione babylonis usque ad christum generationes quattuordeci
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
mto huo ulitiririka kupitia katikati ya barabara kuu ya mji. kandokando ya mto huo kulikuwa na mti wa uzima unaozaa matunda mara kumi na mbili kwa mwaka, yaani kila mwezi; na majani yake ni dawa ya kuwaponya watu wa mataifa.
in medio plateae eius et ex utraque parte fluminis lignum vitae adferens fructus duodecim per menses singula reddentia fructum suum et folia ligni ad sanitatem gentiu
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality: