From professional translators, enterprises, web pages and freely available translation repositories.
anapaswa awe mwenye sifa njema kati ya watu walio nje ya kanisa, ili asije akalaumiwa na kuanguka katika mtego wa ibilisi.
a valja da ima i dobro svedoèanstvo od onih koji su napolju, da ne bi upao u sramotu i u zamku djavolju.
lakini atendaye dhambi ni wa ibilisi, maana ibilisi ametenda dhambi tangu mwanzo. lakini mwana wa mungu alikuja duniani kuiharibu kazi ya ibilisi.
koji tvori greh od djavola je, jer djavo grei od poèetka. zato se javi sin boji da raskopa dela djavolja.
basi, yesu na wanafunzi wake walikuwa mezani kwa chakula cha jioni. ibilisi alikwisha mtia yuda, mwana wa simoni iskarioti, nia ya kumsaliti yesu.
i po veèeri, kad veæ djavo bee metnuo u srce judi simonovu iskariotskom da ga izda,
lakini yeyote asiyetenda mambo maadilifu, au asiyempenda ndugu yake, huyo si mtoto wa mungu. hiyo ndiyo tofauti iliyoko kati ya watoto wa mungu na watoto wa ibilisi.
po tome se poznaju deca boija i deca djavolja: koji god ne tvori pravde, nije od boga, i koji ne ljubi brata svog.
mnajua yesu wa nazareti na jinsi mungu alivyomteua kwa kummiminia roho mtakatifu na nguvu. mungu alikuwa pamoja naye; yeye alikwenda huko na huko akitenda mema na kuwaponya wote waliokuwa wamevamiwa na ibilisi.
isusa iz nazareta kako ga pomaza bog duhom svetim i silom, koji prodje èineæi dobro i isceljujuæi sve koje djavo bee nadvladao; jer bog bee s njim.
ibilisi, aliyekuwa anawapotosha, akatupwa ndani ya ziwa linalowaka moto wa kiberiti, walimo yule mnyama na yule nabii wa uongo, nao watateswa mchana na usiku, milele na milele.
i djavo koji ih varae bi baèen u jezero ognjeno i sumporito, gde je zver i lani prorok; i biæe muèeni dan i noæ va vek veka.
basi, joka hilo kuu likatupwa nje. joka hilo ndiye yule nyoka wa kale ambaye huitwa pia ibilisi au shetani. ndiye anayeudanganya ulimwengu wote. naam, alitupwa duniani, na malaika wake wote pamoja naye.
i zbaèena bi adaha velika, stara zmija, koja se zove djavo i sotona, koja vara sav vasioni svet, i zbaèena bi na zemlju, i andjeli njeni zbaèeni bie s njom.
basi, kwa vile watoto hao, kama awaitavyo, ni watu wenye mwili na damu, yesu mwenyewe akawa kama wao na kushiriki ubinadamu wao. alifanya hivyo ili kwa njia ya kifo chake amwangamize ibilisi, ambaye ana mamlaka juu ya kifo,
buduæi, pak, da deca imaju telo i krv, tako i on uze deo u tome, da smræu satre onog koji ima dravu smrti, to jest djavola;