De traductores profesionales, empresas, páginas web y repositorios de traducción de libre uso.
- keeping the government will raise suspicions about the fairness of the elections and the referendum on the constitution
-kuendelea na serikali hii kutaleta wasiwasi kuhusu kutendeka haki wakati wa uchaguzi na kura ya maoni kuhusu katiba
on the crimea referendum, in which that region of ukraine overwhelmingly voted to be annexed by russia:
kuhusu kura ya maoni ya crimea, ambapo mkoa huo wa ukraine ulipiga kura ya kishindo ya kujitenga na urusi:
south sudan became independent on july 9, 2011 after a referendum that was held on possible independence from sudan was approved.
sudan kusini ilipata uhuru julai 9, 2011 baada ya kura ya maoni ambayo ilifanyika siku ya uhuru kutoka sudan kupitishwa.
a referendum vote was scheduled for the same day, which was one that was opposed by the supreme court, the armed forces and the honduran legislature.
kura ya maoni ilikuwa imepangwa kupigwa siku hiyo, kura hiyo ilikuwa inapingwa na mahakama ya juu, na majeshi ya nchi pamoja na baraza la wawakilishi.
is this being done for the love of sudan or as a blessing for the separation? this post is part of our special coverage south sudan referendum 2011.
je, hili linafanyika kwa kuipenda sudani ama ni baraka kwa ajili ya kujitenga
and back in saudi arabia, bandar bin naif, wonders: a satellite has been launched specifically to monitor the referendum and developments in sudan.
na huko huko saudi arabia, bandar bin naif, anajiuliza: #sudan قمر صناعي أنشىئ خصيصا لمراقبه الاستفتاء والأحداث في السودان، هل هو حبا في السودان أم مباركة للإنفصال http://bit.ly/eifsot chombo cha kurekodi mawasiliano angani (setilaiti) kilirushwa mahususi kwa ajili ya kufuatilia kura ya maoni na maendeleo ya nchi ya sudani.
facebook user leung chau ming was queued outside one of the polling stations on march 23; he described the touching scene on the facebook page of the civic referendum event:
mtumiaji wa facebook leung chau ming aliyekuwa kwenye mstari wa kusubiri zamu nje ya moja ya vituo vya kupigia kura mnamo tarehe 23 machi; alieleza namna alivyoguswa na yale aliyoyaona kupitia ukurasa wa facebook wa tukio la kura ya maoni:
sassou-nguesso, nonetheless, went ahead with the referendum, asking the congolese people if they would grant the amendments necessary for him to hold onto power.
sassou-nguesso, hata hivyo, aliendelea na mpango wake na kuitisha kura ya maoni, akiwauliza wananchi wa kongo kama wanaweza kubariki marekebisho yanayoweza kumwezesha kubaki madarakani.
activists and scholars in hong kong worked together for two years to organize a citizen-led, technology-driven referendum on voting rights that took place at the end of june.
wanaharakati na wanazuoni wa hong kong wamefanya kazi pamoja kwa miaka miwili kuandaa kura ya maoni inayoongozwa na raia na kuwezeshwa na teknolojia juu ya haki ya kupiga kura iliyofanyika mwishoni mwa mwezi wa juni.
now it is clear from sunday's constitutional referendum that denis sassou-nguesso, doesn't respect the constitution nor can he offer undisputed transparency.
sasa ni wazi baada ya kura ya maoni ya jumapili kwamba denis sassou-nguesso, haheshimu katiba wala kuweka uwazi usio na shaka.
...t would be good if the central commission for elections and referendums of tajikistan (ccert) demanded that all presidential candidates declare their annual income and its sources...
...itakuwa vizuri kama tume ya mpito ya uchaguzi na kura ya maoni ya tajikistan (ccert) kuwataka wagombea wote wa urais kutangaza mapato yao ya kila mwaka na vyanzo vyake ...