De traductores profesionales, empresas, páginas web y repositorios de traducción de libre uso.
and it came to pass, that, while apollos was at corinth, paul having passed through the upper coasts came to ephesus: and finding certain disciples,
wakati apolo alipokuwa korintho, paulo alisafiri sehemu za bara, akafika efeso ambako aliwakuta wanafunzi kadhaa.
paul, an apostle of jesus christ by the will of god, and timothy our brother, unto the church of god which is at corinth, with all the saints which are in all achaia:
mimi paulo, mtume wa kristo yesu kwa mapenzi ya mungu, na ndugu timotheo, tunawaandikia ninyi mlio kanisa la mungu huko korintho, na watu wote wa mungu kila mahali katika akaya.
unto the church of god which is at corinth, to them that are sanctified in christ jesus, called to be saints, with all that in every place call upon the name of jesus christ our lord, both theirs and ours:
tunawaandikia ninyi mlio kanisa la mungu huko korintho. ninyi mmefanywa watakatifu katika kuungana na kristo yesu, mkaitwa muwe watu wa mungu, pamoja na watu wote popote wanaomwomba bwana wetu yesu kristo aliye bwana wao na wetu pia.