De traductores profesionales, empresas, páginas web y repositorios de traducción de libre uso.
most women in bangladesh are vulnerable to fall victim to abuse such as rape, murder, eve teasing, dowry and acid attacks.
wakawake wengi nchini bangladeshi wako kwenye hatari ya kufanyiwa dhuluma kama vile ubakaji, kuuwawa, kuchezewa, mahari na hata kumwagiwa tindikali.
do not hold unto your disbelieving wives; you may get back what you have spent on them for their dowry and the disbelievers may also ask for what they have spent.
wala msiwaweke wanawake makafiri katika kifungo cha ndoa zenu. na takeni mlicho kitoa, na wao watake walicho kitoa.
also, it is not a sin if you divorce your wives before the consummation of the marriage or the fixing of the dowry. but the dowry will be due from a husband whether he is rich or poor.
hapana ubaya kwenu mkiwapa t'alaka wanawake ambao hamjawagusa au kuwabainishia mahari yao.
god is aware of your faith: the one of you is of the other; so marry them with the consent of their people, and give them an appropriate dowry.
na mwenyezi mungu ni mjuzi wa imani yenu. nyinyi mmetokana wenyewe kwa wenyewe.
and if you divorce them before the consummation of marriage, but after settling the dowry, then half the settled dowry must be paid, unless the woman forgoes it, or the person who holds the bond of marriage pays the full amount.
na mkiwapa t'alaka kabla ya kuwagusa, na mmekwisha wawekea hayo mahari makhsusi, basi wapeni nusu ya mahari mlio agana, isipo kuwa ikiwa wanawake wenyewe wamesamehe, au mume ambaye kifungo cha ndoa ki mikononi mwake awe amesamehe.
if you divorce them before you have touched them, but after you had set the dowry for them, give them half of what you specified—unless they forego the right, or the one in whose hand is the marriage contract foregoes it.
na mkiwapa t'alaka kabla ya kuwagusa, na mmekwisha wawekea hayo mahari makhsusi, basi wapeni nusu ya mahari mlio agana, isipo kuwa ikiwa wanawake wenyewe wamesamehe, au mume ambaye kifungo cha ndoa ki mikononi mwake awe amesamehe.
#beforempesa payment of dowry has been hectic...after mpesa it's now easier @safaricomltd pic.twitter.com/fwue0dx2u5 — cleo (@cleophas65) march 14, 2014
malipo ya mahari ilikuwa kazi...baada ya mpesa sasa ni rahisi