Aprendiendo a traducir con los ejemplos de traducciones humanas.
De traductores profesionales, empresas, páginas web y repositorios de traducción de libre uso.
and jonah, when he stormed out in fury, thinking we had no power over him.
na dhun-nun alipoondoka hali ameghadhibika, na akadhani ya kwamba hatutakuwa na uwezo juu yake.
Última actualización: 2014-07-03
Frecuencia de uso: 1
Calidad:
alaa was detained after police stormed his house two days later and accused him of organizing the protest.
alaa alitiwa kizuizini baada ya polisi kuvamia nyumba yake siku mbili baadaye na kutuhumiwa kuandaa maandamano.
Última actualización: 2016-02-24
Frecuencia de uso: 1
Calidad:
however, as much as we cannot see through the cloudy skies, we do not wish to be stormed upon.
hata hivyo, kwa namna ile ile tusivyoweza kuona kupitia kwenye wingu zito angani, hatutamani kupatwa dhoruba.
Última actualización: 2016-02-24
Frecuencia de uso: 1
Calidad:
if their town had been stormed, and they had been incited to sedition, they would have rebelled with little hesitation.
na lau kuwa wangeli ingiliwa kwa pande zote, kisha wakatakiwa kufanya khiana, wangeli fanya, na wasingeli sita ila kidogo tu.
Última actualización: 2014-07-03
Frecuencia de uso: 1
Calidad:
police and special forces then stormed maidan nezalezhnosti (independance square), the protesters' stronghold.
polisi na vikosi vya ulinzi vilivamia viwanja vya maidan nezalezhnosti ambavyo ni ngome ya waandamanaji.
Última actualización: 2016-02-24
Frecuencia de uso: 1
Calidad:
ms. bakhshi recalled that her son amin was arrested again on 4 october by ten men who stormed into their home without showing identification or warrants and confiscated his personal computers.
bi. bakhshi anakumbuka kwamba kijana wake huyo amin alikamatwa tena mnamo oktoba 4 na watu wanne waliovamia nyumba yake bila kuonesha vitambulisho wala hati yoyote na kuchukua kompyuta za kijana huyo.
Última actualización: 2016-02-24
Frecuencia de uso: 1
Calidad:
the epicenter of the protests has been at the university of kinshasa (unikin), which has been stormed by presidential guards and police.
maandamano yameanzia kwenye chuo kikuu cha kinshasa (unikin), kichovamiwa na watu wa usalama wa taifa pamoja na polisi.
Última actualización: 2016-02-24
Frecuencia de uso: 1
Calidad:
bandits even stormed the national headquarters of the police and the ministry of external relations (foreign affairs) in the capital city, yaounde.
majambazi wameweza hata kuyavamia makao makuu ya taifa ya polisi na wizara ya mambo ya nje katika mji mkuu wa yaounde.
Última actualización: 2016-02-24
Frecuencia de uso: 1
Calidad:
on 21 september, 2013, a group of armed militants stormed an upscale mall in nairobi, the capital city of kenya, and opened fire, killing by the latest count 69 people and injuring hundreds more.
tarehe 21 septemba, 2013, kikundi cha wanajeshi wenye silaha walivamia kituo cha biashara jijini nairobi, mji mkuu wa kenya, walimimina risasi, wakiua watu wanaosemekana kufikia 69 na kujeruhi mamia.
Última actualización: 2016-02-24
Frecuencia de uso: 1
Calidad:
on september 21, 2013, a group of suspected al-shabab militants stormed westgate mall in nairobi, the capital city of kenya, killing at least 61 people, six security personnel and injuring hundreds of innocent men, women and children.
mnamo septemba 21, 2013, kikundi cha watu wenye silaha wanaodhaniwa kuwa al-shabab walivamia jengo la westgate jijini nairobi, mji mkuu wa kenya, wakiua watu wasiopungua 61, wanausalama sita na kujeruhi mamia ya watu wasio na hatia wakiwamo watoto.
Última actualización: 2016-02-24
Frecuencia de uso: 1
Calidad: