De traductores profesionales, empresas, páginas web y repositorios de traducción de libre uso.
in shanghai city 2008, there were 23 college student suicide cases, resulted in 19 deaths.
katika jiji la shanghai mwaka 2008, kulikuwa na majaribio 23 ya wanafunzi wa vyuo vikuu kujiua ambayo yalisababisha vifo 19.
in a suicide note now held by police, kamanya reportedly said he took his life because of misunderstandings related to politics.
kupitia ujumbe aliouacha ambao kwa sasa upo mikononi mwa polisi, kamanya anasemekana kusema kuwa aliamua kujinyonga kwa sababu ya migogoro ya kisiasa.
boko haram lost an estimated 100 combatants in the clash but a suicide bomber detonated explosives in the city a few hours later, killing 5 civilians.
boko haram imepoteza zaidi ya wnaamgambo 100 kwenye mapigano hayo lakini mtu aliyejitolea mhanga alijilipua mjini masaa machache baadae, na kuua watu wasiopungua watano.
benjamin roger for jeune afrique reports that 18 soldiers, one civilian and four terrorists were killed early morning in an suicide car bombing in agadez, niger on may 23.
benjamin roger wa jeune afrique anaripoti kuwa wanajeshi 18, raia mmoja na magaidi wanne waliuawa mapema subuhi ya leo katika shambulio la mabomu ya kujitoa muhanga kwenye gari mjini agadez, niger tarehe 23 mei.
city press reports the suicide of godfrey kamanya, a malawian deputy minister, apparently after losing his parliamentary seat during the general elections held on 20 may 2014 :
blogu ya city press inaandika kwamba kujinyonga kwa godfrey kamanya, naibu wairi wa malawi, baada ya kushindwa kukitetea kiti chake cha ubunge kwenye uchaguzi mkuu uliofanyika mei 20, 2014 :
despite the progress made by the country since the ousting of the taliban in 2001, most media writing about afghanistan focus stubbornly on negative issues such as bomb blasts, suicide attacks, and casualties.
pamoja na hatua za mafanikio zilizofikiwa na nchi hiyo tangu kuondolewa kwa wa-taliban mwaka 2001, vyombo vingi vya habari vinavyoandika habari za afghanistan kwa ujeuri tu vimejikita katika masuala hasi kama vile milipuko ya mabomu, mashambulizi ya kujitoa muhanga na kujeruhiwa kwa watu.
it’s too early to say who is responsible or why, and even though it is whispered abroad that it was a pair of suicide bombings staged by al-shahab, the somali terrorist organization.
ni mapema mno kusema nani anahusika na kwa nini, hata kama kuna minong'ono huko nje ya nchi kwamba kitendo hicho cha kuua watu kwa mabomu kilifanywa na kundi la al-shahab, ambalo ni kundi la magaidi huko somalia.
abdujalilova’s relatives (according to her facebook profile she is married, and human rights alliance mentioned abdujalilova’s sister who allegedly found her suicide note) have also kept silent.
ndugu zake abdujalilova (kwa mujibu wa maelezo yake ya utambulisho kwenye facebook ameolewa, na asasi ya haki za binadamu imemtaja dada yake abdujalilova ambaye ndiye aliyeuona ujumbe wa kujiua ulioachwa na mdogo wake) nae pia amekaa kimya.