De traductores profesionales, empresas, páginas web y repositorios de traducción de libre uso.
saecularia igitur iudicia si habueritis contemptibiles qui sunt in ecclesia illos constituite ad iudicandu
mnapokuwa na mizozo juu ya mambo ya kawaida, je, mnawaita wawe mahakimu watu ambao hata hawalijali kanisa?
alii autem aliud clamabant erat enim ecclesia confusa et plures nesciebant qua ex causa convenissen
wakati huo, kila mtu alikuwa anapayuka; wengine hili na wengine lile, mpaka hata ule mkutano ukavurugika. wengi hawakujua hata sababu ya kukutana kwao.
cum autem venissent hierosolymam suscepti sunt ab ecclesia et ab apostolis et senioribus adnuntiantes quanta deus fecisset cum illi
walipofika yerusalemu walikaribishwa na kanisa, mitume na wazee; nao wakawapa taarifa juu ya yote mungu aliyoyafanya pamoja nao.
illi igitur deducti ab ecclesia pertransiebant foenicen et samariam narrantes conversionem gentium et faciebant gaudium magnum omnibus fratribu
basi, kanisa liliwaaga, nao walipokuwa wanapitia foinike na samaria waliwaeleza watu jinsi mataifa mengine yalivyomgeukia mungu. habari hizo zikawafurahisha sana ndugu hao wote.
hic est qui fuit in ecclesia in solitudine cum angelo qui loquebatur ei in monte sina et cum patribus nostris qui accepit verba vitae dare nobi
wakati watu wa israeli walipokutana pamoja kule jangwani, mose ndiye aliyekuwako huko pamoja nao. alikuwa huko pamoja na babu zetu na yule malaika aliyeongea naye mlimani sinai; ndiye aliyekabidhiwa yale maneno yaletayo uzima atupe sisi.
ecclesia quidem per totam iudaeam et galilaeam et samariam habebat pacem et aedificabatur ambulans in timore domini et consolatione sancti spiritus replebatu
wakati huo kanisa likawa na amani popote katika yudea, galilaya, na samaria. lilijengwa na kukua katika kumcha bwana, na kuongezeka likitiwa moyo na roho mtakatifu.
volo autem omnes vos loqui linguis magis autem prophetare nam maior est qui prophetat quam qui loquitur linguis nisi si forte ut interpretetur ut ecclesia aedificationem accipia
basi, ningependa ninyi nyote mseme kwa lugha ngeni lakini ningependelea hasa muwe na kipaji cha kutangaza ujumbe wa mungu, maana mtu mwenye kipaji cha kutangaza ujumbe wa mungu, ni wa maana zaidi kuliko yule mwenye kusema lugha ngeni, isipokuwa tu kama yupo hapo mtu awezaye kuyafafanua hayo mambo asemayo, ili kanisa lipate kujengwa.
erant autem in ecclesia quae erat antiochiae prophetae et doctores in quibus barnabas et symeon qui vocabatur niger et lucius cyrenensis et manaen qui erat herodis tetrarchae conlactaneus et saulu
katika kanisa la antiokia kulikuwa na watu wengine waliokuwa manabii na walimu; miongoni mwao akiwa barnaba, simoni aitwaye pia mweusi, lukio wa kurene, manaeni ambaye alikuwa amelelewa pamoja na mfalme herode, na saulo.