Usted buscó: ecclesia (Latín - Suajili)

Contribuciones humanas

De traductores profesionales, empresas, páginas web y repositorios de traducción de libre uso.

Añadir una traducción

Latín

Suajili

Información

Latín

ecclesia

Suajili

kanisa

Última actualización: 2014-03-06
Frecuencia de uso: 1
Calidad:

Referencia: Wikipedia

Latín

perambulabat autem syriam et ciliciam confirmans ecclesia

Suajili

katika safari hiyo alipitia siria na kilikia akiyaimarisha makanisa.

Última actualización: 2012-05-04
Frecuencia de uso: 1
Calidad:

Referencia: Wikipedia

Latín

a mileto autem mittens ephesum vocavit maiores natu ecclesia

Suajili

kutoka mileto paulo alituma ujumbe kwa wazee wa efeso wakutane naye.

Última actualización: 2012-05-04
Frecuencia de uso: 1
Calidad:

Referencia: Wikipedia

Latín

si quid autem alterius rei quaeritis in legitima ecclesia poterit absolv

Suajili

kama mna matatizo mengine, yapelekeni katika kikao halali.

Última actualización: 2012-05-04
Frecuencia de uso: 1
Calidad:

Referencia: Wikipedia

Latín

salutate fratres qui sunt laodiciae et nympham et quae in domo eius est ecclesia

Suajili

salamu zetu kwa ndugu zetu wa laodikea; msalimuni dada nimfa pamoja na jumuiya yote ya waumini inayokutana nyumbani kwake.

Última actualización: 2012-05-04
Frecuencia de uso: 1
Calidad:

Referencia: Wikipedia

Latín

misimus etiam cum illo fratrem cuius laus est in evangelio per omnes ecclesia

Suajili

pamoja naye, tunamtuma ndugu mmoja ambaye sifa zake katika kueneza habari njema zimeenea katika makanisa yote.

Última actualización: 2012-05-04
Frecuencia de uso: 1
Calidad:

Referencia: Wikipedia

Latín

et factus est timor magnus in universa ecclesia et in omnes qui audierunt hae

Suajili

kanisa lote pamoja na wote waliosikia habari ya tukio hilo, waliogopa sana.

Última actualización: 2012-05-04
Frecuencia de uso: 1
Calidad:

Referencia: Wikipedia

Latín

saecularia igitur iudicia si habueritis contemptibiles qui sunt in ecclesia illos constituite ad iudicandu

Suajili

mnapokuwa na mizozo juu ya mambo ya kawaida, je, mnawaita wawe mahakimu watu ambao hata hawalijali kanisa?

Última actualización: 2012-05-04
Frecuencia de uso: 1
Calidad:

Referencia: Wikipedia

Latín

alii autem aliud clamabant erat enim ecclesia confusa et plures nesciebant qua ex causa convenissen

Suajili

wakati huo, kila mtu alikuwa anapayuka; wengine hili na wengine lile, mpaka hata ule mkutano ukavurugika. wengi hawakujua hata sababu ya kukutana kwao.

Última actualización: 2012-05-04
Frecuencia de uso: 1
Calidad:

Referencia: Wikipedia

Latín

et petrus quidem servabatur in carcere oratio autem fiebat sine intermissione ab ecclesia ad deum pro e

Suajili

basi, petro alipokuwa gerezani, kanisa lilikuwa linamwombea kwa mungu kwa moyo.

Última actualización: 2012-05-04
Frecuencia de uso: 1
Calidad:

Referencia: Wikipedia

Latín

cum autem venissent hierosolymam suscepti sunt ab ecclesia et ab apostolis et senioribus adnuntiantes quanta deus fecisset cum illi

Suajili

walipofika yerusalemu walikaribishwa na kanisa, mitume na wazee; nao wakawapa taarifa juu ya yote mungu aliyoyafanya pamoja nao.

Última actualización: 2012-05-04
Frecuencia de uso: 1
Calidad:

Referencia: Wikipedia

Latín

illi igitur deducti ab ecclesia pertransiebant foenicen et samariam narrantes conversionem gentium et faciebant gaudium magnum omnibus fratribu

Suajili

basi, kanisa liliwaaga, nao walipokuwa wanapitia foinike na samaria waliwaeleza watu jinsi mataifa mengine yalivyomgeukia mungu. habari hizo zikawafurahisha sana ndugu hao wote.

Última actualización: 2012-05-04
Frecuencia de uso: 1
Calidad:

Referencia: Wikipedia

Latín

hic est qui fuit in ecclesia in solitudine cum angelo qui loquebatur ei in monte sina et cum patribus nostris qui accepit verba vitae dare nobi

Suajili

wakati watu wa israeli walipokutana pamoja kule jangwani, mose ndiye aliyekuwako huko pamoja nao. alikuwa huko pamoja na babu zetu na yule malaika aliyeongea naye mlimani sinai; ndiye aliyekabidhiwa yale maneno yaletayo uzima atupe sisi.

Última actualización: 2012-05-04
Frecuencia de uso: 1
Calidad:

Referencia: Wikipedia

Latín

ecclesia quidem per totam iudaeam et galilaeam et samariam habebat pacem et aedificabatur ambulans in timore domini et consolatione sancti spiritus replebatu

Suajili

wakati huo kanisa likawa na amani popote katika yudea, galilaya, na samaria. lilijengwa na kukua katika kumcha bwana, na kuongezeka likitiwa moyo na roho mtakatifu.

Última actualización: 2012-05-04
Frecuencia de uso: 1
Calidad:

Referencia: Wikipedia

Latín

volo autem omnes vos loqui linguis magis autem prophetare nam maior est qui prophetat quam qui loquitur linguis nisi si forte ut interpretetur ut ecclesia aedificationem accipia

Suajili

basi, ningependa ninyi nyote mseme kwa lugha ngeni lakini ningependelea hasa muwe na kipaji cha kutangaza ujumbe wa mungu, maana mtu mwenye kipaji cha kutangaza ujumbe wa mungu, ni wa maana zaidi kuliko yule mwenye kusema lugha ngeni, isipokuwa tu kama yupo hapo mtu awezaye kuyafafanua hayo mambo asemayo, ili kanisa lipate kujengwa.

Última actualización: 2012-05-04
Frecuencia de uso: 1
Calidad:

Referencia: Wikipedia

Latín

erant autem in ecclesia quae erat antiochiae prophetae et doctores in quibus barnabas et symeon qui vocabatur niger et lucius cyrenensis et manaen qui erat herodis tetrarchae conlactaneus et saulu

Suajili

katika kanisa la antiokia kulikuwa na watu wengine waliokuwa manabii na walimu; miongoni mwao akiwa barnaba, simoni aitwaye pia mweusi, lukio wa kurene, manaeni ambaye alikuwa amelelewa pamoja na mfalme herode, na saulo.

Última actualización: 2012-05-04
Frecuencia de uso: 1
Calidad:

Referencia: Wikipedia

Obtenga una traducción de calidad con
8,042,296,844 contribuciones humanas

Usuarios que están solicitando ayuda en este momento:



Utilizamos cookies para mejorar nuestros servicios. Al continuar navegando está aceptando su uso. Más información. De acuerdo