De traductores profesionales, empresas, páginas web y repositorios de traducción de libre uso.
egyptische blogger zeinobia meldt dat deze veroordeling, die pas definitief wordt op 28 april, een nieuw wereldrecord is.
mwanablogu wa misri zeinobia anasema hukumu hii, ambayo hukumu ya mwisho kabisa inategemewa kusomwa tarehe 28 aprili, imevunja rekodi mpya ya dunia.
in april 2009 publiceerde de iraanse president ahmadinejad een brief waarin hij opriep om de zaak van hossein derakhshan snel en correct af te handelen.
mwezi aprili mwaka 2009, rais wa irani, ahmedinejad, aliandika barua akitaka kesi ya hossein derakshan ishughulikiwe haraka na kwa kuzingatia sheria.
dit bericht was onderdeel van de 46ste #lunesdeblogsgv (blogmaandag op global voices) op 13 april 2015.
makala haya ni ya 46 kwenye mfulululizo wetu wa #lunesdeblogsgv (jumatatu ya blogu gv) mnamo aprili 13, 2015.
gérard longuet, de franse minister van defensie, bracht in de ochtend van 7 april 2011 verslag uit aan de franse senaatscommissie voor buitenlandse zaken.
waziri wa ulinzi wa ufaransa gérard longuet aliiarifu tume ya mambo ya nje ya baraza la seneti la ufaransa asubuhi ya aprili 7, 2011.
de juryleden zullen medio april bijeenkomen om gezamenlijk de winnaars uit te kiezen en de uitslag zal op 15 april in berlijn op de bloggersbijeenkomst re:publica bekend worden gemaakt.
jopo la majaji litakutana katikati ya mwezi aprili ili kuamua washindi, na matokeo yatatangazwa tarehe 15 april wakati wa kongamano la re:publica jijini berlin, ujerumani.
op 11 april 2011 om 1 uur 's middags gmt werd het nieuws bekendgemaakt dat laurent gbagbo, samen met zijn vrouw simone en hun entourage, was gearresteerd in zijn ambtswoning in cocody.
habari mpya ziliingia saa 7 gmt siku ya aprili 11, 2011: laurent gbagbo alikamatwa katika makazi yake ya cocody, pamoja na mkewe, simone, na msafara wa watu wa karibu.
de franse presidentiële dienst (@elysée ) meldde via twitter dat frankrijk was ingegaan op een verzoek om deel te nemen aan een nieuwe militaire interventie in ivoorkust op 10 april 2011:
ofisi ya rais wa ufaransa (@elysée) ilitangaza kwa njia ya twita kwamba ufaransa imekubali kushiriki katika shambulio la kijeshi nchini côte d'ivoire siku ya tarehe 10 aprili, 2011:
capitaine sanogo is de leider van het nieuwe national committee for the restoration of democracy and state (cnrdr), dat beweert het land te zullen regeren gedurende de overgangsperiode tot de verkiezingen in april.
kapteni sanogo ndiye kiongozi wa kamati ya kijeshi ya taifa ya kurejesha demokrasia na nchi (cnrdr) ambao wanasema wataongoza serikali ya mpito mpaka uchaguzi utakapofanyika.
de staatsgevangenis van oekraïne echter, gaf op 2 april via haar persdienst een verklaring , die als een boodschap van "preventieve aanval" op journalisten zoals usov geïnterpreteerd kan worden:
idara ya magereza ya ukraine, hata hivyo, ilitoa tamko kupitia taarifa kwa vyombo vya habari mnamo tarehe 2 aprili, inayosomeka kama "njia ya kupuuzia" ujumbe kama ule wa usov:
de nigeriaanse bloggers blossom nnodim (@blcompere) en nwachukwu egbunike (@feathersproject), en global voices-editor ndesanjo macha (@ndesanjo) uit tanzania houden een tweetathon om de negen bloggers en journalisten te steunen die eind april in ethiopië werden gearresteerd en op dit moment gevangen zitten. je kunt hieraan meedoen!
ungana na wanablogu wa naijeria blossom nnodim (@blcompere) na nwachukwu egbunike (@feathersproject), pamoja na mhariri wa global voices ndesanjo macha (@ndesanjo) kutoka tanzania kwenye kampeni ya kutuma twiti barani afrika kuwaunga mkono wanablogu na waandishi tisa waliokamatwa mwishoni mwa mwezi aprili na kwa sasa wanashikiliwa nchini ethiopia.