De traductores profesionales, empresas, páginas web y repositorios de traducción de libre uso.
mafuriko hayo yalisababishwa na mvua kubwa iliyovunja rekodi iliyotokana na kimbunga cha ketsana kilichoikumba nchi ya ufilipino mwezi septemba.
la crue subite a été causée par les précipitations record accompagnant le passage du typhon ketsana, également appelé ondoy, qui a frappé les philippines au mois de septembre.
hivi karibuni lilizizima pale rais sata alipofungua mkutano wa nne wa bunge mnamo septemba 19, 2014.alionekana kuudhoofu sana.
récemment, le pays a retenu son souffle quand le président sata a ouvert la quatrième session du parlement le 19 septembre 2014. il avait l'air sérieusement malade.
maelfu ya wafungwa wa kisiasa kikurdi wamekuwa katika mgomo wa kutokula nchini uturuki tangu septemba 12 na jumuiya ya kimataifa bado iko kimya.
depuis le 12 septembre 2012, des milliers de prisonniers politiques kurdes sont en grève de la faim, et la communauté internationale ne dit rien.
hakuna mashaka kwamba, kadri muda unavyoendelea, tafakuri na chambuzi zaidi zinafuatia katika kujaribu kutafakari matukio ya kutisha ya septemba 21.
nul doute qu'avec le temps, d'autres réflexions et analyses suivront sur les épouvantables événements du 21 septembre.
ilikuwa ni uchunguzi huu wa kufahamu zaidi kuhusu watu walioishi katikati ya maeneo haya matupu ndio ulionifanya nirudi mwezi januari 2004, na septemba 2004 nilihamia nouakchott na bado ninaishi hapa.
c’était la curiosité, pour en savoir plus sur les gens qui vivaient au milieu de ces vastes espaces vides qui m'a fait revenir en janvier 2004. puis en septembre 2004 j'ai déménagé à nouakchott et j'y suis toujours.
baada ya kunusurika na mafuriko mabaya ya mwezi septemba, wakazi wa barangay bagong silangan wanakabiliwa na changamoto kubwa zaidi: kujenga upya nyumba zao na maisha yao.
après avoir survécu aux inondations meurtrières du mois de septembre, les habitants de barangay bagong silangan doivent tout reconstruire, leurs maisons et leurs vies.
kuanzia tarehe 29, augusti hadi septemba 12, 2012, wanamichezo 4,200 kutoka nchi 166 watashiriki katika michezo ya 14 ya paralympiki jijini london itakayohusisha nyanja ishirini za kimichezo.
depuis le 29 août et jusqu’au 12 septembre, 4.200 athlètes de 166 pays participent à la 14e édition des jeux paralympiques de londres et vont s’affronter dans vingt disciplines: il a fallu 15 jours aux organisateurs pour réaménager et rendre accessibles les infrastructures.
hatua hiyo ya kupinga biashara ya pembe za ndofu ilizinduliwa na tamko la lucy lan skrine mwenye umri wa miaka 11 na christina seigrist mwenye miaka 8 kwenye wavuti ya avaaz.org katikati ya mwezi septemba likitoa mwito wa kuteketezwa kwa pembe za ndofu zilizokamatwa ili kutuma ujumbe mzito kwa wateja wa bidhaa hiyo nchini china kuwa shughuli hiyo haifai na ni kinyume cha maadili.
cette action locale anti-ivoire a été lancée via une pétition mise en ligne par lucy lan skrine (11 ans) et christina seigrist (9 ans) sur avaaz.org en septembre, qui réclame la destruction du stock d'ivoire confisqué par l'administration, un geste fort pour signifier aux clients chinois qu'acheter de l'ivoire est immoral.
hivi karibuni, mnamo septemba 2, 2012, mwandishi wa habari wa tanzania daudi mwangosi aliawa kwa kile kinachodaiwa kuwa bomu la kutoa machozi katika kijiji cha nyololo, mufindi kusini, iringa mkoa ulioko kusini mwa tanzania.
plus récemment, le 2 septembre 2012, le journaliste tanzanien daudi mwangosi a été tué par un jet de gaz lacrymogène dans le village de nyololo au sud mufindi (région d’iringa), dans le sud du pays.
kufuatia mapambano kati ya polisi wa hong kong na waandamanaji wanfaunzi mnamo septemba 27, maandamano ya kukaa yaliyofanyika katikati ya jiji kudai demokrasia yalianza saa 7:30 usiku siku iliyofuata kuishinikiza serikali ya china kuondoa dai kwamba mgombea wa uongozi wa juu kabisa hong king lazima apate uungwaji wa walio wengi kutoka kwenye kamati ya uteuli ambao kimsingi inasimamia maslahi ya beijing.
après les affrontements entre policiers de hong kong et manifestants étudiants le 27 septembre, le mouvement pour la démocratie occupy central avec paix et amour a donné le coup d'envoi d'un sit-in géant à 1h30 le lendemain matin pour obliger le gouvernement chinois à retirer sa condition que les candidats au poste de chef de l'exécutif de hong kong obtiennent le soutien majoritaire d'une commission de désignation largement favorable à pékin.