De traductores profesionales, empresas, páginas web y repositorios de traducción de libre uso.
adamu waziri katika evcl anasema kuwa mara nyingi jinsi wanaijeria wanavyoonyeshwa na wanaijeria pia huwa hakufurahishi:
adamu waziri at evcl points out that often nigerian depictions of nigerians are equally unflattering:
lakini tangu wakati wa adamu mpaka wakati wa mose, kifo kiliwatawala hata wale ambao hawakutenda dhambi kama ile ya adamu, ya kumwasi mungu. adamu alikuwa kielelezo cha yule ambaye atakuja baadaye.
nevertheless death reigned from adam to moses, even over them that had not sinned after the similitude of adam's transgression, who is the figure of him that was to come.
henoki, ambaye ni babu wa saba tangu adamu, alibashiri hivi juu ya watu hawa: "sikilizeni! bwana atakuja pamoja na maelfu ya malaika wake watakatifu
and enoch also, the seventh from adam, prophesied of these, saying, behold, the lord cometh with ten thousands of his saints,
maana maandiko yasema: "mtu wa kwanza, adamu, alikuwa kiumbe mwenye uhai;" lakini adamu wa mwisho ni roho awapaye watu uzima.
and so it is written, the first man adam was made a living soul; the last adam was made a quickening spirit.