De traductores profesionales, empresas, páginas web y repositorios de traducción de libre uso.
pia inawezekana kudai kuwa urusi bado haijaendeleza utamaduni wa utoaji taarifa kupitia uanahabari wa kiraia.
it is also possible to claim that russia has not yet developed the tradition of social media reporting.
huko urusi matokeo yaliyoonyesha zaidi ya asilimia 140 ya idadi ya wapiga kura tayari yamekuwa kichekesho kilichoenezwa sana mtandaoni.
in russia the result reporting more than 140% of voters has already become a meme.
baadhi ya wakazi wa adama wamesema kujitenga kwa crimea na kujiunga urusi hakutaathiri ukuaji na mipango ya mabadiliko ya ethiopia.
some residents of adama said that russia’s annexation of crimea won’t affect the growth and transformation plan of ethiopia.
na kama shirikisho la urusi litatimuliwa kwenye kundi la g8 mwaka huu, nani achukue nafasi hiyo mwingine zaidi ya ukraine?
and if the russian federation does get kicked out of the g8 this year, who better to take its place but ukraine?
aliyetoa taarifa hiyo alilaumu urusi kwa kuanzisha vita vya "kisiasa na kidiplomasia".
the source accused russia of embarking on a "geopolitical and diplomatic" charm offensive.