Aprendiendo a traducir con los ejemplos de traducciones humanas.
De traductores profesionales, empresas, páginas web y repositorios de traducción de libre uso.
wakaingia gerezani pamoja naye vijana wawili.
and there entered the prison with him two young men.
Última actualización: 2014-07-03
Frecuencia de uso: 1
Calidad:
wakaja ndugu zake yusuf, na wakaingia kwake.
[after some years] the brothers of joseph came and entered his presence.
Última actualización: 2014-07-03
Frecuencia de uso: 1
Calidad:
lakini alipo wajia na ishara zetu wakaingia kuzicheka.
but when he brought them our signs, at once they laughed at them.
Última actualización: 2014-07-03
Frecuencia de uso: 1
Calidad:
basi tulipo waondolea adhabu hiyo, mara wakaingia kuvunja ahadi.
but lo, each time we removed our affliction from them, they would go back on their word.
Última actualización: 2014-07-03
Frecuencia de uso: 1
Calidad:
walipo uonja ule mti, tupu zao zilifichuka na wakaingia kujibandika majani ya bustanini.
when they tasted the tree's fruit, their nakedness became exposed to them and they started covering themselves with the leaves of the garden.
Última actualización: 2014-07-03
Frecuencia de uso: 1
Calidad:
viungo william lucian na said ndemla wakaingia kumsaidia haroun chanongo aliyelemewa na abdulhalim humuod.
midfielders william lucian and said ndemla came in for the underwhelming haroun chanongo and abdulhalim humuod.
Última actualización: 2016-02-24
Frecuencia de uso: 1
Calidad:
nzige wakatoka katika moshi huo, wakaingia duniani wakapewa nguvu kama ya ng'e.
and there came out of the smoke locusts upon the earth: and unto them was given power, as the scorpions of the earth have power.
Última actualización: 2012-05-06
Frecuencia de uso: 1
Calidad:
basi, akawatuma wajumbe wamtangulie, nao wakaenda wakaingia kijiji kimoja cha wasamaria ili wamtayarishie mahali.
and sent messengers before his face: and they went, and entered into a village of the samaritans, to make ready for him.
Última actualización: 2012-05-06
Frecuencia de uso: 1
Calidad:
basi akawateka kwa khadaa. walipo uonja ule mti, tupu zao zilifichuka na wakaingia kujibandika majani ya bustanini.
so by deceit he brought about their fall: when they tasted of the tree, their shame became manifest to them, and they began to sew together the leaves of the garden over their bodies.
Última actualización: 2014-07-03
Frecuencia de uso: 1
Calidad:
nao, baada ya kufufuka kwake, wakatoka makaburini, wakaingia katika mji mtakatifu, wakaonekana na watu wengi.
and came out of the graves after his resurrection, and went into the holy city, and appeared unto many.
Última actualización: 2012-05-06
Frecuencia de uso: 1
Calidad:
lakini wao wakamcheka. basi, akawaondoa wote nje, akawachukua baba na mama ya huyo msichana na wale wanafunzi wake, wakaingia chumbani alimokuwa huyo msichana.
and they laughed him to scorn. but when he had put them all out, he taketh the father and the mother of the damsel, and them that were with him, and entereth in where the damsel was lying.
Última actualización: 2012-05-06
Frecuencia de uso: 1
Calidad:
basi, wale wanawali wapumbavu walipokwenda kununua mafuta, bwana arusi akafika, na wale wanawali waliokuwa tayari wakaingia pamoja naye katika jumba la arusi, kisha mlango ukafungwa.
and while they went to buy, the bridegroom came; and they that were ready went in with him to the marriage: and the door was shut.
Última actualización: 2012-05-06
Frecuencia de uso: 1
Calidad:
mitume walitii, wakaingia hekaluni asubuhi na mapema, wakaanza kufundisha. kuhani mkuu na wenzake walipofika, waliita mkutano wa baraza kuu, yaani halmashauri yote ya wazee wa wayahudi halafu wakawatuma watu gerezani wawalete wale mitume.
and when they heard that, they entered into the temple early in the morning, and taught. but the high priest came, and they that were with him, and called the council together, and all the senate of the children of israel and sent to the prison to have them brought.
Última actualización: 2012-05-06
Frecuencia de uso: 1
Calidad:
walipo uonja ule mti, tupu zao zilifichuka na wakaingia kujibandika majani ya bustanini. mola wao mlezi akawaita: je, sikukukatazeni mti huo, na kukwambieni ya kwamba shet'ani ni adui yenu wa dhaahiri?
so he brought them down with deception; and when they tasted from that tree, their shame became manifest to them and they began attaching the leaves of paradise on themselves; and their lord said to them, “did i not forbid you from that tree, and tell you that satan is an open enemy to you?”
Última actualización: 2014-07-03
Frecuencia de uso: 1
Calidad: