De traductores profesionales, empresas, páginas web y repositorios de traducción de libre uso.
na amka usiku kwa ibada; ni ziada ya sunna khasa kwako wewe. huenda mola wako mlezi akakunyanyua cheo kinacho sifika.
veglia [in preghiera] parte della notte, sarà per te un'opera supererogatoria; presto il tuo signore ti risusciterà ad una stazione lodata.
na, malaika ambao hawakuridhika na cheo chao, wakayaacha makao yao ya asili, mungu amewafunga gizani kwa minyororo ya milele wahukumiwe siku ile kuu.
e che gli angeli che non conservarono la loro dignità ma lasciarono la propria dimora, egli li tiene in catene eterne, nelle tenebre, per il giudizio del gran giorno
wale walio amini, na wakahama, na wakapigana jihadi katika njia ya mwenyezi mungu kwa mali yao na nafsi zao, hao wana cheo kikubwa zaidi mbele ya mwenyezi mungu.
coloro che credono, che sono emigrati e che lottano sul sentiero di allah con i loro beni e le loro vite, hanno i più alti gradi presso allah.
na wanapo somewa aya zetu zilizo wazi, walio kufuru huwaambia walio amini: lipi katika makundi mawili lenye cheo kizuri na lilio bora barazani?
quando vengono recitati i nostri chiari versetti, i miscredenti dicono a coloro che credono: “quale dei due partiti ha miglior posizione e buona compagnia?”.
je! imekuwa ajabu kwa watu kwamba tumemfunulia mmoja wao kuwa: waonye watu, na wabashirie wale walio amini ya kuwa watakuwa na cheo cha juu kwa mola wao mlezi?
perché la gente si stupisce se abbiamo fatto scendere la rivelazione a uno dei loro? “avverti le genti e da', a coloro che credono, la lieta novella che la loro sincerità li precede presso il loro signore.”
hawawi sawa waumini wanao kaa tu wala hawanadharura, na wale wanao pigana katika njia ya mwenyezi mungu kwa mali yao na nafsi zao. mwenyezi mungu amewatukuza cheo wale wanao pigana kwa mali yao na nafsi zao kuliko wale wanao kaa tu.
non sono eguali i credenti che rimangono nelle loro case (eccetto coloro che sono malati) e coloro che lottano, con la loro vita e i loro beni, per la causa di allah.
huko, kristo anatawala juu ya kila tawala, mamlaka, enzi na ukuu; anatawala juu ya kila cheo kiwezacho kutajwa katika ulimwengu huu na katika ulimwengu ujao.
al di sopra di ogni principato e autorità, di ogni potenza e dominazione e di ogni altro nome che si possa nominare non solo nel secolo presente ma anche in quello futuro
wakamwendea, wakamwambia, "mwalimu, tunajua kwamba wewe ni mtu mwaminifu unayesema ukweli mtupu, wala humjali mtu yeyote. wala cheo cha mtu si kitu kwako, lakini wafundisha ukweli kuhusu njia ya mungu. je, ni halali kulipa kodi kwa kaisari, au la? tulipe au tusilipe?"
e venuti, quelli gli dissero: «maestro, sappiamo che sei veritiero e non ti curi di nessuno; infatti non guardi in faccia agli uomini, ma secondo verità insegni la via di dio. e' lecito o no dare il tributo a cesare? lo dobbiamo dare o no?»
nanyi mnaotumikiwa, watendeeni vivyo hivyo watumwa wenu, na acheni kutumia vitisho. kumbukeni kwamba ninyi pia kama vile wao, mnaye bwana yuleyule mbinguni, kwake cheo cha mtu si kitu.
anche voi, padroni, comportatevi allo stesso modo verso di loro, mettendo da parte le minacce, sapendo che per loro come per voi c'è un solo signore nel cielo, e che non v'è preferenza di persone presso di lui
basi, wakawatuma wafuasi wao pamoja na wafuasi wa kikundi cha herode. wakamwuliza, "mwalimu, tunajua kwamba wewe ni mtu mwaminifu, na kwamba wafundisha njia ya mungu kwa uaminifu; humwogopi mtu yeyote, maana cheo cha mtu si kitu kwako.
mandarono dunque a lui i propri discepoli, con gli erodiani, a dirgli: «maestro, sappiamo che sei veritiero e insegni la via di dio secondo verità e non hai soggezione di nessuno perché non guardi in faccia ad alcuno