Aprendiendo a traducir con los ejemplos de traducciones humanas.
De: Traducción automática
Sugiera una traducción mejor
Calidad:
De traductores profesionales, empresas, páginas web y repositorios de traducción de libre uso.
nilimleta kwa wanafunzi wako lakini hawakuweza kumponya."
واحضرته الى تلاميذك فلم يقدروا ان يشفوه.
Última actualización: 2012-05-05
Frecuencia de uso: 1
Calidad:
Advertencia: contiene formato HTML invisible
basi ndugu zake wakamwambia, "ondoka hapa uende yudea ili wanafunzi wako wazione kazi unazozifanya.
فقال له اخوته انتقل من هنا واذهب الى اليهودية لكي يرى تلاميذك ايضا اعمالك التي تعمل.
Última actualización: 2012-05-05
Frecuencia de uso: 1
Calidad:
Advertencia: contiene formato HTML invisible
hapo baadhi ya mafarisayo waliokuwako katika lile kundi la watu, wakamwambia yesu, "mwalimu, wanyamazishe wanafunzi wako!"
واما بعض الفريسيين من الجمع فقالوا له يا معلّم انتهر تلاميذك.
Última actualización: 2012-05-05
Frecuencia de uso: 1
Calidad:
Advertencia: contiene formato HTML invisible
"kwa nini wanafunzi wako hawajali mapokeo tuliyopokea kutoka kwa wazee wetu? hawanawi mikono yao kama ipasavyo kabla ya kula!"
لماذا يتعدى تلاميذك تقليد الشيوخ. فانهم لا يغسلون ايديهم حينما ياكلون خبزا.
Última actualización: 2012-05-05
Frecuencia de uso: 1
Calidad:
Advertencia: contiene formato HTML invisible
mafarisayo walipoona hayo, wakamwambia yesu, "tazama, wanafunzi wako wanafanya jambo ambalo si halali siku ya sabato."
فالفريسيون لما نظروا قالوا له هوذا تلاميذك يفعلون ما لا يحل فعله في السبت.
Última actualización: 2012-05-05
Frecuencia de uso: 1
Calidad:
Advertencia: contiene formato HTML invisible
kisha wanafunzi wa yohane mbatizaji walimwendea yesu, wakamwuliza, "sisi na mafarisayo hufunga mara nyingi; mbona wanafunzi wako hawafungi?"
حينئذ اتى اليه تلاميذ يوحنا قائلين لماذا نصوم نحن والفريسيون كثيرا واما تلاميذك فلا يصومون.
Última actualización: 2012-05-05
Frecuencia de uso: 1
Calidad:
Advertencia: contiene formato HTML invisible
basi, mafarisayo na walimu wa sheria wakamwuliza yesu, "mbona wanafunzi wako hawayajali mapokeo tuliyopokea kwa wazee wetu, bali hula chakula kwa mikono najisi?"
ثم سأله الفريسيون والكتبة لماذا لا يسلك تلاميذك حسب تقليد الشيوخ بل يأكلون خبزا بأيد غير مغسولة.
Última actualización: 2012-05-05
Frecuencia de uso: 1
Calidad:
Advertencia: contiene formato HTML invisible
wakati mmoja wanafunzi wa yohane na wanafunzi wa mafarisayo walikuwa wanafunga. basi, watu wakaja, wakamwuliza yesu, "kwa nini wanafunzi wa yohane na wa mafarisayo wanafunga, lakini wanafunzi wako hawafungi?"
وكان تلاميذ يوحنا والفريسيين يصومون. فجاءوا وقالوا له لماذا يصوم تلاميذ يوحنا والفريسيين واما تلاميذك فلا يصومون.
Última actualización: 2012-05-05
Frecuencia de uso: 1
Calidad:
Advertencia: contiene formato HTML invisible
Se han ocultado algunas traducciones humanas de escasa relevancia para esta búsqueda.
Mostrar los resultados de escasa relevancia para esta búsqueda.