Réalisées par des traducteurs professionnels, des entreprises, des pages web ou traductions disponibles gratuitement.
los patriarcas, movidos por envidia, vendieron a josé para egipto. pero dios estaba con él
"wale mababu walimwonea wivu yosefu, wakamuuza utumwani misri. lakini mungu alikuwa pamoja naye,
los sentimientos visibles en los comentarios acerca del discurso de obama iban más allá de la envidia, los celos y la pena.
mitizamo ya watu kwenye maoni kuhusiana na hotuba ya rais obama ilionekana dhahiri kuvuka mipaka ya husuda, wivu na hali ya kusikitisha.
porque hacer oposición para usted es sentarse en su sombra e instigar envidia contra los que usted cree que están listos para servir al pueblo.
kwa sababu kufanya upinzani kwako ni kukaa na kivuli chako na kuanzisha fitna dhidi ya wale unaodhania wako tayari kuhudumia wananchi.
andemos decentemente, como de día; no con glotonerías y borracheras, ni en pecados sexuales y desenfrenos, ni en peleas y envidia
mwenendo wetu uwe wa adabu kama inavyostahili wakati wa mchana; tusiwe na ulafi na ulevi, uchafu na uasherati, ugomvi na wivu.
¿no me es lícito hacer lo que quiero con lo mío? ¿o tienes envidia porque soy bueno?
je, sina haki ya kufanya na mali yangu nipendavyo? je, unaona kijicho kwa kuwa mimi ni mwema?"
a muchos de la gente de la escritura les gustaría hacer de vosotros infieles después de haber sido creyentes, por envidia, después de habérseles manifestado la verdad.
wengi miongoni mwa watu wa kitabu wanatamani lau wange kurudisheni nyinyi muwe makafiri baada ya kuamini kwenu, kwa ajili ya uhasidi uliomo ndani ya nafsi zao, baada ya kwisha wapambanukia haki.
codiciáis y no tenéis; matáis y ardéis de envidia, pero no podéis obtener. combatís y hacéis guerra. no tenéis, porque no pedís
mnatamani vitu na kwa vile hamvipati mko tayari kuua; mwatamani sana kupata vitu, lakini hamvipati, hivyo mnagombana na kupigana. hampati kile mnachotaka kwa sababu hamkiombi kwa mungu.
envidia, borracheras, orgías y cosas semejantes a éstas, de las cuales os advierto, como ya lo hice antes, que los que hacen tales cosas no heredarán el reino de dios
husuda, ulevi, ulafi na mambo mengine kama hayo. nawaambieni tena kama nilivyokwisha sema: watu wanaotenda mambo hayo hawatakuwa na nafasi yao katika ufalme wa mungu.
se ha llenado de orgullo y no sabe nada. más bien, delira acerca de controversias y contiendas de palabras, de las cuales vienen envidia, discordia, calumnias, sospechas perversas
huyo amejaa majivuno na wala hajui chochote. ni mtu wa kupenda ubishi na magombano juu ya maneno matupu, na hiyo husababisha wivu, ugomvi, matusi, shuku mbaya,
porque en otro tiempo nosotros también éramos insensatos, desobedientes, extraviados. estábamos esclavizados por diversas pasiones y placeres, viviendo en malicia y en envidia. Éramos aborrecibles, odiándonos unos a otros
maana, wakati mmoja sisi tulikuwa wapumbavu, wakaidi na wapotovu. tulikuwa watumwa wa tamaa na anasa za kila aina. tuliishi maisha ya uovu na wivu; watu walituchukia nasi tukawachukia.