Réalisées par des traducteurs professionnels, des entreprises, des pages web ou traductions disponibles gratuitement.
baada ya kuwaaga, alipanda mlimani peke yake kusali. ilipokuwa jioni, yeye alikuwa huko peke yake,
kaj forsendinte la homamason, li supreniris sur la monton sola, por pregxi; kaj kiam vesperigxis, li estis tie sola.
jioni, siku hiyohiyo, yesu aliwaambia wanafunzi wake, "tuvuke ziwa, twende ng'ambo."
kaj en tiu tago, kiam vesperigxis, li diris al ili:ni transiru al la alia bordo.
basi, yesu na wanafunzi wake walikuwa mezani kwa chakula cha jioni. ibilisi alikwisha mtia yuda, mwana wa simoni iskarioti, nia ya kumsaliti yesu.
kaj dum la vespermangxo, kiam la diablo jam metis en la koron de judas iskariota, filo de simon, la intencon perfidi lin,
kesheni, basi, kwa maana hamjui mwenye nyumba atarudi lini; huenda ikawa jioni, usiku wa manane, alfajiri au asubuhi.
vi do viglu; cxar vi ne scias, kiam venos la domomastro, cxu vespere, cxu noktomeze, cxu cxe la kokokrio, cxu frumatene;
ilipokuwa jioni, walimletea watu wengi waliokuwa wamepagawa na pepo; naye, kwa kusema neno tu, akawafukuza hao pepo. aliwaponya pia watu wote waliokuwa wagonjwa.
kaj kiam vesperigxis, oni venigis al li multajn demonhavantojn; kaj li elpelis la spiritojn per vorto, kaj sanigis cxiujn malsanulojn;
hata mnamo saa kumi na moja jioni, akatoka tena; akakuta watu wengine wamesimama pale sokoni. basi, akawauliza, mbona mmesimama hapa mchana kutwa bila kazi?
kaj elirinte cxirkaux la dek-unua horo, li trovis aliajn starantajn; kaj li diris al ili:kial vi staras cxi tie senokupe la tutan tagon?
halafu akamwambia na yule aliyemwalika, "kama ukiwaandalia watu karamu mchana au jioni, usiwaalike rafiki zako au jamaa zako au jirani zako walio matajiri, wasije nao wakakualika nawe ukawa umelipwa kile ulichowatendea.
kaj li diris al tiu, kiu lin invitis:kiam vi faras tagmangxon aux vespermangxon, ne voku viajn amikojn, nek viajn fratojn, nek viajn parencojn, nek viajn ricxajn najbarojn, por ke ne okazu, ke ili ankaux invitos vin, kaj vi ricevos rekompencon.
kulipokuwa jioni, wanafunzi wake walimwendea wakamwambia, "mahali hapa ni nyikani, na saa zimepita. basi, uwaage watu ili waende vijijini wakajinunulie chakula."
kaj kiam venis la vespero, liaj discxiploj venis al li, dirante:la loko estas dezerta, kaj la horo jam pasis; forsendu la homamason, por ke ili iru en la vilagxojn kaj acxetu por si mangxajxon.
ilikuwa jioni ya siku hiyo ya jumapili. wanafunzi walikuwa wamekutana pamoja ndani ya nyumba, na milango ilikuwa imefungwa kwa sababu waliwaogopa viongozi wa wayahudi. basi, yesu akaja, akasimama kati yao, akawaambia, "amani kwenu!"
kiam do estis vespero en tiu sama tago, la unua de la semajno, kaj kiam estis fermitaj la pordoj, kie la discxiploj estis, pro timo antaux la judoj, jesuo venis kaj staris meze de ili, kaj diris al ili:paco al vi.