Apprendre à traduire à partir d'exemples de traductions humaines.
Réalisées par des traducteurs professionnels, des entreprises, des pages web ou traductions disponibles gratuitement.
basi, hao watu wakamkamata yesu, wakamtia nguvuni.
וישלחו בו את ידיהם ויתפשהו׃
Dernière mise à jour : 2012-05-05
Fréquence d'utilisation : 1
Qualité :
basi, wakawatia nguvuni, wakawafunga ndani ya gereza kuu.
וישלחו יד בשליחים ויתנום במשמר העיר׃
Dernière mise à jour : 2012-05-05
Fréquence d'utilisation : 1
Qualité :
baadhi ya watu walitaka kumtia nguvuni lakini hakuna aliyejaribu kumkamata.
ומקצתם רצו לתפשו ואיש לא שלח בו יד׃
Dernière mise à jour : 2012-05-05
Fréquence d'utilisation : 1
Qualité :
niliwatesa hata kuwaua wale watu waliofuata njia hii. niliwatia nguvuni wanaume kwa wanawake na kuwafunga gerezani.
וארדף את הדרך הזאת עד מות ואהי אסר ומסגיר לכלא אנשים ונשים׃
Dernière mise à jour : 2012-05-05
Fréquence d'utilisation : 1
Qualité :
makuhani wakuu na mafarisayo walikuwa wametoa amri kwamba mtu akijua mahali aliko yesu awaarifu kusudi wamtie nguvuni.
והכהנים הגדולים והפרושים גזרו גזרה אשר אם ידע איש את מקומו יודיענו למען יתפשהו׃
Dernière mise à jour : 2012-05-05
Fréquence d'utilisation : 1
Qualité :
basi, waliwatia nguvuni na kwa kuwa usiku ulikuwa umekaribia, wakawaweka chini ya ulinzi mpaka kesho yake.
וישלחו בהם את ידיהם וישימום במשמר עד למחר כי כבר בא הערב׃
Dernière mise à jour : 2012-05-05
Fréquence d'utilisation : 1
Qualité :
yesu alisema maneno hayo kwenye chumba cha hazina alipokuwa anafundisha hekaluni. wala hakuna mtu aliyemtia nguvuni, kwa sababu saa yake ilikuwa haijafika bado.
כדברים האלה דבר בבית האוצר בלמדו במקדש ולא תפשו איש כי לא בא עתו׃
Dernière mise à jour : 2012-05-05
Fréquence d'utilisation : 1
Qualité :
yesu akamwambia, "rafiki, fanya ulichokuja kufanya." hapo wale watu wakaja, wakamkamata yesu, wakamtia nguvuni.
ויאמר אליו ישוע רעי על מה באת ויגשו וישלחו את ידיהם בישוע ויתפשו אתו׃
Dernière mise à jour : 2012-05-05
Fréquence d'utilisation : 1
Qualité :
Avertissement : un formatage HTML invisible est présent
hapo awali herode mwenyewe alikuwa ameamuru yohane atiwe nguvuni, akamfunga gerezani. herode alifanya hivyo kwa sababu ya herodia ambaye herode alimwoa ingawaje alikuwa mke wa filipo, ndugu yake.
כי הוא הורודס שלח לתפש את יוחנן ויאסרהו בבית הסהר בגלל הורודיה אשת פילפוס אחיו כי אתה לקח לו לאשה׃
Dernière mise à jour : 2012-05-05
Fréquence d'utilisation : 1
Qualité :
mkuu wa jeshi alimwendea paulo, akamtia nguvuni na kuamuru afungwe minyororo miwili. kisha akauliza, "ni mtu gani huyu, na amefanya nini?"
ויגש שר האלף ויחזק בו ויצו לאסרו בנחשתים וישאל מי הוא זה ומה עשה׃
Dernière mise à jour : 2012-05-05
Fréquence d'utilisation : 1
Qualité :
Avertissement : un formatage HTML invisible est présent
nao watakapowatieni nguvuni na kuwapeleka mahakamani, msiwe na wasiwasi juu ya yale mtakayosema; saa ile itakapofika, semeni chochote mtakachopewa, maana si ninyi mtakaosema, bali roho mtakatifu.
וכאשר יוליכו ומסרו אתכם אל תדאגו ואל תחשבו מה תדברו כי הדבר אשר ינתן לכם בשעה ההיא אותו דברו יען לא אתם הם המדברים כי אם רוח הקדש׃
Dernière mise à jour : 2012-05-05
Fréquence d'utilisation : 1
Qualité :
watu wote waliomsikia walishangaa, wakasema, "je, mtu huyu si yuleyule aliyewaua wale waliokuwa wanaomba kwa jina hili kule yerusalemu? tena alikuja hapa akiwa na madhumuni ya kuwatia nguvuni watu hao na kuwapeleka kwa makuhani!"
וישתוממו כל השמעים ויאמרו הלא זה הוא אשר האביד בירושלים את קראי השם הזה ולמען זאת בא הנה להביאם אסורים לפני ראשי הכהנים׃
Dernière mise à jour : 2012-05-05
Fréquence d'utilisation : 1
Qualité :
Avertissement : un formatage HTML invisible est présent