Da traduttori professionisti, imprese, pagine web e archivi di traduzione disponibili gratuitamente al pubblico.
neno la leo
today's word
Ultimo aggiornamento 2021-04-17
Frequenza di utilizzo: 1
Qualità:
Riferimento:
kama kawaida, wananchi wa kiirani walizungumzia tukio hili la leo wakitaka dunia ijifunze kuhusu tukio hilo.
as usual, iranian citizens covered today's event and let the world learn about it.
alisoma somo la kiingereza katika chuo kikuu cha guangdong ambacho ni chuo cha mambo ya nje huko guangzhou, china.
she studied english at guangdong university of foreign studies in guangzhou, china.
vijana wa liberia wanakabiliwa na changamoto nyingi katika kupata elimu ambayo itawapatia amana ya ujuzi na ufahamu kuwa wazalishaji katika soko la leo la ajira.
liberia’s youth face many challenges in gaining an education that delivers them the right set of skills and knowledge to become productive in today’s labor market.
na mwisho lakini si kwa uchache, blogu inayopinga ubaguzi wa rangi, racism review inatuacha na wazo juu ya kusikiliza somo la king:
and last but not least, the anti-racist blog racism review leaves us with a thought about heeding king's lessons:
wakati tumo kwenye somo la tovuti zisizofanya kazi, baada ya miaka mingi ya wazungumzaji wa kiingereza kuchoshwa na tovuti ya daily star, mwanablogu mmoja ameamua kuchukua hatua.
while we’re on the subject of dysfunctional websites, after many years of anglophone frustration with the daily star’s website, one bloggerhas decided to act.
kati yao mkubwa kuliko wote alikuwa na miaka 60 na mdogo zaidi alikuwa na umri wa majuma mawili tu. somo la kimaadili: usikate miti, inaweza kuyaokoa maisha yako siku moja.
the oldest was 60 years old and the youngest 2 weeks old moral lesson: don't cut trees, they may save your life one day.
nitasafiri kwa ndege kutoka uingereza kwenda addis siku ya ijumaa kwa shirika la ndege la ethiopia na, pamoja na balaa la leo, bado ninatarajia (safari).
i will be flying from the uk to addis on friday on ethiopian airlines and, despite today’s tragedy, i am looking forward to it.
bunmi anaandika kuhusu uamuzi wa kulifanya somo la kiswahili kuwa la kuchagua nchini kenya: "somo hili halitakuwa tena na mtihani wa lazima katika mtihani wa taifa wa darasa la nane..."
bumni writes about the decision to make kiswahili an optional subject in kenya: "the subject will no longer be a compulsory paper in the standard eight national examinations..."
baada ya shauri la leo, mwanasheria wa al-khadar na mwanachama wa acpra abdualziz al-shubaily walishikiliwa na vikosi vya polisi baada ya wapelelezi wa polisi kumtuhumu kwa "tabia zisizofaa."
after today's session, al-khadar's lawyer and acpra member abdualziz al-shubaily was held by police forces after a secret police member had accused him of "inappropriate behavior."