Da traduttori professionisti, imprese, pagine web e archivi di traduzione disponibili gratuitamente al pubblico.
ellery anachukua majukumu ya mkurugenzi kwenye wakati muhimu sana katika global voices na kwenye uhuru wa kujieleza.
ellery asume el rol de directora en un momento importante para global voices y la expresión en línea.
mkurugenzi wa sauti zinazokua, david sasaki ameandika kumbukumbu ya kuvutia kwa ajili ya siku ya kuadhimisha miaka mitano ya global voices.
david sasaki, director de rising voices, ha escrito una encantadora retrospectiva por el quinto cumpleaños de global voices.
eddie avila, mkurugenzi wa kitengo cha rising voices, kinachoshughulika na kuinua sauti za wanablogu wanaochipukia yeye akiwa cochabamba, bolivia
eddie avila, director de rising voices, de cochabamba, bolivia
alikuwa mwanzilishi wa miradi kadhaa ya uanahabari wa kiraia ikiwemo talk morocco na mamfakinch, na pia alifanya kazi kama mkurugenzi wa kitengo cha utetezi cha global voices.
Él fue cofundador de los proyectos de medios ciudadanos talk morocco y mamfakinch, y se desempeñó como director de advocacy de global voices.
flavia bustreo, mkurugenzi mkuu msaidizi wa shirika la afya ya familia, wanawake na watoto, na shirika la afya duniani anataja kwamba:
la dra. flavia bustreo, sub-directora general de la oms para la salud de la familia, de la mujer y el niño declara que:
bloga na mpiga picha kamran ashtray, ambaye pia ni mkurugenzi wa mawasiliano na maendeleo anaeleza changamoto, matumaini, na mafanikio ya nyanja ya uanahabari wa kiraia wa irani.
kamran ashtary, blogger, fotógrafo y director de comunicación y desarrollo de zamnaeh comparte los retos, esperanzas y logros de zamaneh y los medios ciudadanos iraníes.
na kiongozi wa jumuiya wa gv renata avila na mkurugenzi wa kampeni ya uandishi huru wa mtandaoni josh levy wanatuambia kuhusu kampeni ya mtandao tunaoutaka, mradi mpya unaowezesha mazungumzo ya kidunia kuhusu haki za mwanadamu na mtandao wa intaneti.
y la líder de la comunidad gv, renata avila, así como el director de la campaña libertad de prensa en el internet, josh levy, nos hablan sobre la campaña la red que queremos, una iniciativa que promueve una conversación global en torno a los derechos humanos e internet.
colleen fitzgerald, mkurugenzi wa maabara ya lugha za asili za amerika kaskazini kwenye chuo kikuu cha texas mjini arlington, anatoa maoni yake kupitia posti yake kwenye blogu yake kwenye makala ya huffington:
colleen fitzgerald, directora del laboratorio de idiomas nativos americanos en la universidad de texas, en arlington, nos da su opinión en su blog del huffington post:
maelezo yafuatayo yaliandikwa na kutafitiwa na renata avila, ambaye ni kiongozi wa creative commons huko guatemala, pia ni mkurugenzi wa primer palabra, na ni mtafiti wetu wa lugha ya kihispania huko latini amerika kuhusu mtandao wa teknolojia wa kutetea uwazi.
los siguientes perfiles fueron escritos e investigados por renata avila, líder de creative commons guatemala, directora de primer palabra, y nuestra investigadora en idioma español de latino américa en tecnología para redes de transparencia (en inglés).
akitoa maoni yake kuhusu mabadiliko ya lugha, atetaulwa ngatara, naibu mkurugenzi wa sera katika wizara ya elimu na mafunzo ya ufundi, alisema kiingereza kitaendelea kufundishwa kama lugha, na kwamba wanafunzi kujifunza kiingereza haitamaanisha kuwa ni lazima masomo yote yafundishwe kwa lugha hiyo.
en un comentario sobre el cambio de idioma, atetaulwa ngatara, el director adjunto de políticas del ministerio de educación y formación profesional, sostuvo que el inglés seguirá enseñándose, pero que para que los alumnos lo aprendan no es necesario que todas las materias se dicten en inglés.
baada ya suala la duo-cotexcin kenya, holley-cotec kampuni ambayo inatengeneza dawa hizi, walizindua teknolojia ambayo haiwezi kuchezewa.james nyikal, mkurugenzi wa huduma za afya, kenya anaeleza :
luego del incidente con el duo-cotecxin en kenia, holley-cotec, la empresa que fabrica el antipalúdico, implementó una nueva tecnología para que los comprimidos no pudieran ser dañados. james nyikal, director del departamento de servicios médicos de kenia, explica :