プロの翻訳者、企業、ウェブページから自由に利用できる翻訳レポジトリまで。
madai na kesi inayomkabili nchini india hivi sasa vimeondolewa na familia ya siddiqui baada ya malipo ya kiasi cha rupia milioni 150 kama fedha za kumkimu aliyetalikiwa.
the allegations and the judicial case on him in india have now been taken back by the siddiqui family for an alleged rs. 150 million in alimony.
mahakama hiyo ilimwamuru kulipa faini ya rupia milioni 204 (sawasawa na dola za marekani 21,680) kwa hospitali hiyo inayojulikana kwa jina la omni international alam sutera.
the court ordered her to pay a fine of rp. 204 m (us$ 21,680) to omni internasional alam sutera hospital.
rais sata, anayejulikana kwa kuzungumza kwa jazba na kutokuzingatia protokali, aliripotiwa na tovuti ya habari za kiraia,zambian watchdog, kuwa na fursa ya kuzungumza na kupokea maswali kutoka kwa wa-zambia waishio nchini botswana, ambapo anadaiwa kusema kwamba rupia banda, (rais wa zamani wa nchi hiyo, ambaye alimshinda katika uchaguzi wa mwaka 2011) alitaka kuiingiza hoja hiyo ya uraia wa nchi mbili katika katiba kwa sababu tu alitokea eneo la gwanda nchini zimbambwe.
president sata, known for his brashness and disregard for protocol, was reported by the citizen online news site, the zambian watchdog, to have had a question and answer session with zambians residing in botswana where he allegedly told them that former president rupiah banda whom he defeated in the 2011 elections wanted to include dual citizenship in the failed constitution because he was from gwanda in zimbabwe.