プロの翻訳者、企業、ウェブページから自由に利用できる翻訳レポジトリまで。
khalid says: i believe the that judiciary is the only legal authority which can make decisions on whether or not to ban any website
khalid anasema: ninaamini kwamba mamlaka ya sheria ndiyo mamlaka pekee yanayoweza kufanya uamuzi ama wa kufunga au kutofunga tovuti
recently, chantra questioned the role of 164 advisers of the ruling government and whether or not they have correctly advised the government on certain aspects such as health, education, judiciary, investment and the utilization of natural resource.
hivi karibuni, chantra alihoji jukumu la washauri 164 wa chama kilicho madarakani kama wameshaishauri kwa makini serikali katika mambo fulani kama vile ya afya, elimu, mahakama, uwekezaji na mali asili.
egyptians witnessed the most unexpected verdict in the history of their judiciary system: billionaire hesham talaat moustafa, along with his hired hitman mohsen el sokary, have both been sentenced to death for their roles in the murder of lebanese singer suzanne tameem.
wamisri walishuhudia hukumu isiyotarajiwa katika historia ya vyombo vya sheria nchini humo: bilionea hesham talaat moustafa, pamoja na mamluki wake (mpiga risasi wa kukodi) mohsen el sokari wamehukumiwa adhabu ya kifo kutokana na kuhusika kwao katika mauaji ya mwimbaji wa kilebanoni suzanne tameem.
#swazijustice is a campaign calling for the release of bheki makhubu, editor of the nation magazine and thulani maseko, a human rights lawyer, who were jailed in swaziland for two years for writing an article critical of the judiciary in the country.
#swazijustice ni kampeni inayotoa wito wa kuachiliwa huru kwa bheki makhubu, mhariri wa gazeti la taifa na thulani maseko, mwanasheria wa haki za binadamu, ambao walifungwa jela nchini swaziland kwa miaka miwili kwa sababu ya kuandika makala kukosoa mfumo wa mahakama nchini humo.