プロの翻訳者、企業、ウェブページから自由に利用できる翻訳レポジトリまで。
avrebbe un figlio? gloria a lui!
ametukuka yeye na kuwa na mwana.
最終更新: 2014-07-03
使用頻度: 1
品質:
e nessuno di voi avrebbe potuto impedircelo.
na hapana yeyote katika nyinyi ambaye angeli weza kutuzuia.
最終更新: 2014-07-03
使用頻度: 1
品質:
avrebbe forse preferito le figlie ai figli?
ati amekhiari watoto wa kike kuliko wanaume?
最終更新: 2014-07-03
使用頻度: 1
品質:
e se avesse voluto l'avrebbe fatta immobile.
na angeli taka angeli kifanya kikatulia tu.
最終更新: 2014-07-03
使用頻度: 1
品質:
[allah] avrebbe forse figlie e voi figli?
au yeye mwenyezi mungu ana wasichana, na nyinyi ndio mna wavulana?
最終更新: 2014-07-03
使用頻度: 1
品質:
se allah avesse voluto, avrebbe fatto di voi una sola comunità.
na lau kuwa mwenyezi mungu angeli taka ange kufanyeni nyote umma mmoja, lakini ni kukujaribuni kwa aliyo kupeni.
最終更新: 2014-07-03
使用頻度: 1
品質:
se allah avesse voluto, avrebbe dato loro potere su di voi e vi avrebbero combattuti.
na lau angeli penda mwenyezi mungu angeli wasaliti juu yenu wakapigana nanyi.
最終更新: 2014-07-03
使用頻度: 1
品質:
anch'essi pensavano, come lo pensavate voi, che allah non avrebbe resuscitato nessuno.
na kwa hakika wao walidhani, kama mlivyo dhani nyinyi, ya kuwa mwenyezi mungu hatamleta mtume.
最終更新: 2014-07-03
使用頻度: 1
品質:
aveva pensato che l'irrilevanza del luogo lo avrebbe reso immune dalla pressione governativa.
awali alidhani kuwa nafasi ndogo kama hiyo aliyogombea ingempa kinga ya kushambuliwa na serikali.
最終更新: 2016-02-24
使用頻度: 1
品質:
l' ho danneggiata perché li inseguiva un tiranno che l'avrebbe presa con la forza.
nilitaka kuiharibu, kwani nyuma yao alikuwako mfalme anaghusubu majahazi yote.
最終更新: 2014-07-03
使用頻度: 1
品質:
se giosuè infatti li avesse introdotti in quel riposo, dio non avrebbe parlato, in seguito, di un altro giorno
kama yoshua angaliwapa watu hao hilo pumziko, mungu hangalisema baadaye juu ya siku nyingine.
最終更新: 2012-05-06
使用頻度: 1
品質:
e ben sapevano che chi avesse acquistato quell'arte, non avrebbe avuto parte nell'altra vita.
na hakika wanajua kwamba aliye khiari haya hatakuwa na fungu lolote katika akhera.
最終更新: 2014-07-03
使用頻度: 1
品質:
di': “se allah avesse voluto, non ve lo avrei recitato ed egli non ve lo avrebbe fatto conoscere.
sema: mwenyezi mungu angeli taka nisingeli kusomeeni, wala nisingeli kujuvyeni.
最終更新: 2014-07-03
使用頻度: 1
品質:
una parte della gente della scrittura avrebbe voluto, potendo, farvi perdere. ma furono loro a perdersi e non ne sono coscienti.
kipo kikundi katika watu wa kitabu wanao penda kukupotezeni; lakini hawapotezi ila nafsi zao, nao wenyewe hawatambui.
最終更新: 2014-07-03
使用頻度: 1
品質:
la donna chiedeva il proprio stipendio e l'uomo, che glielo rifiutava, l'avrebbe spinta in un momento di rabbia.
alikuwa akidai mshahara wake, mwanamume huyo alikataa, na ndipo kwa hasira, alimsukuma msichana huyo.
最終更新: 2016-02-24
使用頻度: 1
品質:
e se allah non avesse decretato il loro bando, li avrebbe certamente castigati in questa vita: nell'altra vita avranno il castigo del fuoco,
na lau kuwa mwenyezi mungu asingeli waandikia kutoka, angeli waadhibu katika dunia. na katika akhera watapata adhabu ya moto.
最終更新: 2014-07-03
使用頻度: 1
品質:
e se non fosse per la grazia di allah nei vostri confronti e la sua misericordia in questa vita e nell'altra, vi avrebbe colpito un castigo immenso per quello che avete propalato,
na lau kuwa si fadhila ya mwenyezi mungu juu yenu na rehema yake katika dunia na akhera, bila ya shaka ingeli kupateni adhabu kubwa kwa sababu ya yale mliyo jiingiza.
最終更新: 2014-07-03
使用頻度: 1
品質:
pur essendo entrati nel modo che loro padre aveva raccomandato, ciò non li avrebbe protetti da allah. non fu altro che uno scrupolo, nell'animo di giacobbe, ed egli lo soddisfece.
na walipo ingia kama alivyo waamrisha baba yao, haikuwafaa kitu kwa mwenyezi mungu, isipo kuwa ni haja tu iliyo kuwa katika nafsi ya yaa'qub aliitimiza.
最終更新: 2014-07-03
使用頻度: 1
品質:
e geova dio proseguì, dicendo: “non è bene che l’uomo stia solo. gli farò un aiuto, come suo complemento”. ora geova dio formava dal suolo ogni bestia selvaggia del campo e ogni creatura volatile dei cieli, e le conduceva all’uomo per vedere come avrebbe chiamato ciascuna; e in qualunque modo l’uomo la chiamasse — ciascun’anima vivente — quello era il suo nome. l’uomo dava dunque i nomi a tutti gli animali domestici e alle creature volatili dei cieli e a ogni bestia selvaggia del campo, ma per l’uomo non si trovava un aiuto come suo complemento. perciò geova dio fece cadere sull’uomo un profondo sonno e, mentre dormiva, prese una delle sue costole e chiuse quindi la carne sul posto d’essa. e geova dio edificava dalla costola che aveva preso dall’uomo una donna e la conduceva all’uomo.
na yehova mungu akaendelea kusema: “si vema huyo mwanamume aendelee kuwa peke yake. nitamfanyia msaidizi, awe kikamilisho chake.” yehova mungu alikuwa akifanya kutoka katika udongo kila mnyama wa mwituni na kila kiumbe kinachoruka cha mbinguni, naye akaanza kumletea huyo mtu ili aone atawaitaje kila mmoja wao; na jina ambalo huyo mtu aliita kila nafsi hai, kila mmoja, hilo likawa jina lake. basi huyo mtu alikuwa akiita majina wanyama wote wa kufugwa na viumbe vinavyoruka vya mbinguni na kila mnyama wa mwituni, lakini kwa ajili ya huyo mwanamume hakupatikana msaidizi wa kuwa kikamilisho chake. kwa hiyo yehova mungu akamletea huyo mwanamume usingizi mzito, na alipokuwa akilala, akachukua ubavu wake mmoja na kisha akafunika nyama mahali pake. na yehova mungu akaufanya ubavu ambao alikuwa ameuchukua kutoka kwa mwanamume kuwa mwanamke na kumleta kwa huyo mwanamume.