プロの翻訳者、企業、ウェブページから自由に利用できる翻訳レポジトリまで。
vagheranno tra loro fanciulli di eterna giovinezza,
wakitumikiwa na wavulana wa ujana wa milele,
最終更新: 2014-07-03
使用頻度: 1
品質:
perché chiunque crede in lui abbia la vita eterna»
ili kila anayemwamini awe na uzima wa milele.
最終更新: 2012-05-06
使用頻度: 1
品質:
in verità, in verità vi dico: chi crede ha la vita eterna
kweli, nawaambieni, anayeamini anao uzima wa milele.
最終更新: 2012-05-06
使用頻度: 1
品質:
e, reso perfetto, divenne causa di salvezza eterna per tutti coloro che gli obbediscono
na alipofanywa mkamilifu, akawa chanzo cha wokovu wa milele kwa wale wote wanaomtii,
最終更新: 2012-05-06
使用頻度: 1
品質:
chi ama la sua vita la perde e chi odia la sua vita in questo mondo la conserverà per la vita eterna
anayependa maisha yake, atayapoteza; anayeyachukia maisha yake katika ulimwengu huu, atayaweka kwa ajili ya uzima wa milele.
最終更新: 2012-05-06
使用頻度: 1
品質:
saranno serviti da fanciulli di eterna giovinezza: vedendoli, ti sembreranno perle sparse.
na watawazungukia kuwatumikia wavulana wasio pevuka, ukiwaona utawafikiri ni lulu zilizo tawanywa.
最終更新: 2014-07-03
使用頻度: 1
品質:
chiunque odia il proprio fratello è omicida, e voi sapete che nessun omicida possiede in se stesso la vita eterna
kila anayemchukia ndugu yake ni muuaji; nanyi mnajua kwamba muuaji yeyote yule hana uzima wa milele ndani yake.
最終更新: 2012-05-06
使用頻度: 1
品質:
chi mangia la mia carne e beve il mio sangue ha la vita eterna e io lo risusciterò nell'ultimo giorno
anayekula mwili wangu na kunywa damu yangu anao uzima wa milele nami nitamfufua siku ya mwisho.
最終更新: 2012-05-06
使用頻度: 1
品質:
gli rispose simon pietro: «signore, da chi andremo? tu hai parole di vita eterna
simoni petro akamjibu, "bwana, tutakwenda kwa nani? wewe unayo maneno yaletayo uzima wa milele.
最終更新: 2012-05-06
使用頻度: 1
品質:
警告:見えない HTML フォーマットが含まれています
ma chi avrà bestemmiato contro lo spirito santo, non avrà perdono in eterno: sarà reo di colpa eterna»
lakini anayesema mabaya dhidi ya roho mtakatifu, hatasamehewa kamwe; ana hatia ya dhambi ya milele."
最終更新: 2012-05-06
使用頻度: 1
品質:
警告:見えない HTML フォーマットが含まれています
chi semina nella sua carne, dalla carne raccoglierà corruzione; chi semina nello spirito, dallo spirito raccoglierà vita eterna
apandaye katika tamaa za kidunia, atavuna humo uharibifu; lakini akipanda katika roho, atavuna kutoka kwa roho uzima wa milele.
最終更新: 2012-05-06
使用頻度: 1
品質:
che non riceva gia al presente cento volte tanto in case e fratelli e sorelle e madri e figli e campi, insieme a persecuzioni, e nel futuro la vita eterna
atapokea mara mia zaidi wakati huu wa sasa nyumba, ndugu, dada, mama, watoto na mashamba pamoja na mateso; na katika wakati ujao atapokea uzima wa milele.
最終更新: 2012-05-06
使用頻度: 1
品質:
non sanno, dunque, che chi si oppone ad allah e al suo messaggero, avrà come dimora eterna il fuoco dell'inferno?
je, hawajui ya kwamba anaye shindana na mwenyezi mungu na mtume wake, basi huyo atapata moto wa jahannamu adumu humo?
最終更新: 2014-07-03
使用頻度: 1
品質:
e il dio di ogni grazia, il quale vi ha chiamati alla sua gloria eterna in cristo, egli stesso vi ristabilirà, dopo una breve sofferenza vi confermerà e vi renderà forti e saldi
lakini mkisha teseka muda mfupi, mungu aliye asili ya neema yote na ambaye anawaiteni muushiriki utukufu wake wa milele katika kuungana na kristo, yeye mwenyewe atawakamilisheni na kuwapeni uthabiti, nguvu na msingi imara.
最終更新: 2012-05-06
使用頻度: 1
品質:
chi crede nel figlio ha la vita eterna; chi non obbedisce al figlio non vedrà la vita, ma l'ira di dio incombe su di lui»
anayemwamini mwana anao uzima wa milele; asiyemtii mwana hatakuwa na uzima wa milele, bali ghadhabu ya mungu hubaki juu yake."
最終更新: 2012-05-06
使用頻度: 1
品質:
警告:見えない HTML フォーマットが含まれています
in verità, in verità vi dico: chi ascolta la mia parola e crede a colui che mi ha mandato, ha la vita eterna e non va incontro al giudizio, ma è passato dalla morte alla vita
"kweli nawaambieni, anayesikia neno langu, na kumwamini yule aliyenituma, anao uzima wa milele. hatahukumiwa kamwe, bali amekwisha pita kutoka kifo na kuingia katika uzima.
最終更新: 2012-05-06
使用頻度: 1
品質:
警告:見えない HTML フォーマットが含まれています
chiunque avrà lasciato case, o fratelli, o sorelle, o padre, o madre, o figli, o campi per il mio nome, riceverà cento volte tanto e avrà in eredità la vita eterna
na kila aliyeacha nyumba, au ndugu, au dada, au baba, au mama, au watoto, au mashamba, kwa ajili yangu, atapokea mara mia zaidi, na kupata uzima wa milele.
最終更新: 2012-05-06
使用頻度: 1
品質:
allora paolo e barnaba con franchezza dichiararono: «era necessario che fosse annunziata a voi per primi la parola di dio, ma poiché la respingete e non vi giudicate degni della vita eterna, ecco noi ci rivolgiamo ai pagani
hata hivyo, paulo na barnaba waliongea kwa uhodari zaidi, wakasema, "ilikuwa ni lazima neno la mungu liwafikieni ninyi kwanza; lakini kwa kuwa mmelikataa na kujiona hamstahili uzima wa milele, basi, tunawaacheni na kuwaendea watu wa mataifa mengine.
最終更新: 2012-05-06
使用頻度: 1
品質:
警告:見えない HTML フォーマットが含まれています
timoteo, mio compagno d’opera, vi saluta, e anche lucio e giasone e sosipatro miei parenti. io, terzo, che ho scritto questa lettera, vi saluto nel signore. vi saluta gaio, ospite mio e di tutta la congregazione. vi saluta erasto, economo della città, come pure quarto suo fratello. — ora a colui che vi può rendere fermi secondo la buona notizia che io dichiaro e la predicazione di gesù cristo, conforme alla rivelazione del sacro segreto che per tempi di lunga durata è stato taciuto, ma che ora è stato reso manifesto ed è stato fatto conoscere per mezzo delle scritture profetiche fra tutte le nazioni secondo il comando dell’iddio eterno per promuovere l’ubbidienza mediante la fede: a dio, solo sapiente, sia la gloria per mezzo di gesù cristo per sempre. amen.
timotheo mfanyakazi mwenzangu anawasalimu ninyi, na pia lukio na yasoni na sosipata jamaa zangu. mimi, tertio, ambaye nimeiandika barua hii, nawasalimu ninyi katika bwana. gayo, mkaribishaji wangu na wa kutaniko lote, anawasalimu ninyi. erasto msimamizi wa jiji anawasalimu ninyi, na pia kwarto ndugu yake. —— sasa kwa yeye anayeweza kuwafanya ninyi kuwa imara kulingana na habari njema ninayotangaza na kuhubiriwa kwa yesu kristo, kwa kupatana na ufunuo wa siri takatifu ambayo imewekwa katika siri tangu nyakati za zamani za kale lakini sasa imefunuliwa na kujulishwa kupitia maandiko ya kinabii kati ya mataifa yote kwa kupatana na amri ya mungu anayedumu milele ili kuendeleza utii kwa njia ya imani; kwa mungu, mwenye hekima peke yake, kuwe na utukufu kupitia yesu kristo milele. amina.