プロの翻訳者、企業、ウェブページから自由に利用できる翻訳レポジトリまで。
un angelo possente prese allora una pietra grande come una mola, e la gettò nel mare esclamando: babilonia, la grande città e più non riapparirà
kisha malaika mmoja mwenye nguvu sana akainua jiwe mfano wa jiwe kubwa la kusagia, akalitupa baharini akisema, "ndivyo, babuloni atakavyotupwa na kupotea kabisa.
最終更新: 2012-05-06
使用頻度: 1
品質:
警告:見えない HTML フォーマットが含まれています
la bestia che hai visto era ma non è più, salirà dall'abisso, ma per andare in perdizione. e gli abitanti della terra, il cui nome non è scritto nel libro della vita fin dalla fondazione del mondo, stupiranno al vedere che la bestia era e non è più, ma riapparirà
huyo mnyama uliyemwona alikuwa hai hapo awali, lakini sasa amekufa. hata hivyo, karibu sana atapanda kutoka shimoni kuzimu, lakini ataangamizwa. wanaoishi duniani watashangaa; naam, watu wote ambao majina yao hayakupata kuandikwa katika kitabu cha uzima tangu mwanzo wa ulimwengu, watashangaa kumwona huyo mnyama ambaye hapo awali, aliishi, kisha akafa na sasa anatokea tena!
最終更新: 2012-05-06
使用頻度: 1
品質: