検索ワード: subire (イタリア語 - スワヒリ語)

コンピュータによる翻訳

人が翻訳した例文から、翻訳方法を学びます。

Italian

Swahili

情報

Italian

subire

Swahili

 

から: 機械翻訳
よりよい翻訳の提案
品質:

人による翻訳

プロの翻訳者、企業、ウェブページから自由に利用できる翻訳レポジトリまで。

翻訳の追加

イタリア語

スワヒリ語

情報

イタリア語

al pensiero di subire un castigo terribile.

スワヒリ語

zitajua ya kuwa zitafikiwa na livunjalo uti wa mgongo.

最終更新: 2014-07-03
使用頻度: 1
品質:

イタリア語

e' una grazia per chi conosce dio subire afflizioni, soffrendo ingiustamente

スワヒリ語

maana kama mnavumilia maumivu ya mateso msiyostahili kwa sababu mwajua kwamba mungu anataka hivyo, basi mungu atawafadhili.

最終更新: 2012-05-06
使用頻度: 1
品質:

イタリア語

se non desistete vi lapideremo, e vi faremo subire un severo castigo”.

スワヒリ語

ikiwa hamtaacha basi kwa yakini tutakupigeni mawe, na mtapata adhabu chungu kutoka kwetu.

最終更新: 2014-07-03
使用頻度: 1
品質:

イタリア語

adagiati su alti divani, non dovranno subire né il sole, né il freddo pungente.

スワヒリ語

humo wataegemea juu ya viti vya enzi, hawataona humo jua kali wala baridi kali.

最終更新: 2014-07-03
使用頻度: 1
品質:

イタリア語

e questo non resta indifferente. il collettivo sostiene di subire ogni tipo di pressioni e di minacce da parte del potere.

スワヒリ語

kundi hilo linadai kuwa limewekewa shinikizo kubwa sana, na linasema kuwa limepokea vitisho kutoka vyombo vya mamlaka.

最終更新: 2016-02-24
使用頻度: 1
品質:

イタリア語

e dire che è gia per voi una sconfitta avere liti vicendevoli! perché non subire piuttosto l'ingiustizia? perché non lasciarvi piuttosto privare di ciò che vi appartiene

スワヒリ語

kwa kweli huko kushtakiana tu wenyewe kwa wenyewe kwabainisha kwamba mmeshindwa kabisa! je, haingekuwa jambo bora zaidi kwenu kudhulumiwa! haingekuwa bora zaidi kwenu kunyang'anywa mali yenu?

最終更新: 2012-05-06
使用頻度: 1
品質:

イタリア語

quanto a chi desidera il caduco, ci affrettiamo a dare quello che vogliamo a chi vogliamo, quindi lo destiniamo all'inferno che dovrà subire, bandito e reietto.

スワヒリ語

anaye taka yapitayo upesi upesi, tutafanya haraka kumletea hapa hapa tunayo yataka kwa tumtakaye. kisha tumemwekea jahannamu; ataingia humo hali ya kuwa ni mwenye kulaumiwa na kufurushwa.

最終更新: 2014-07-03
使用頻度: 1
品質:

イタリア語

si deve notare che non è stato preso in considerazione quanto segue: secondo una serie di ricerche medico scientifiche, un bambino che sta per subire un aborto prova lo stesso livello di sofferenza di una persona adulta torturata a morte.

スワヒリ語

ifahamike kwamba uhalisia ufuatao haukutiliwa maanani: kwa mujibu wa tafiti mbalimbali za kitabibu, mimba inapotolewa, mtoto huwa anapata maumivu sawasawa na ya mtoto aliyezaliwa kawaida na akakuzwa halafu akateswa hadi kufa.

最終更新: 2016-02-24
使用頻度: 1
品質:

イタリア語

ora adamo ebbe rapporti con eva sua moglie ed essa rimase incinta.+ a suo tempo essa partorì caino*+ e disse: “ho prodotto* un uomo con l’aiuto di geova”.+ 2 poi ancora partorì abele,+ suo fratello. e abele diveniva pastore di pecore,+ ma caino divenne coltivatore del suolo.+ 3 e avvenne che dopo qualche tempo* caino portava dei frutti del suolo+ come offerta a geova.+ 4 ma in quanto ad abele, anche lui portò dei primogeniti+ del suo gregge, perfino i loro pezzi grassi.+ ora mentre geova guardava con favore ad abele e alla sua offerta,+ 5 non guardò con alcun favore a caino e alla sua offerta.+ e caino si accese di grande ira,+ e il suo viso era dimesso. 6 allora geova disse a caino: “perché ti accendi d’ira e perché il tuo viso è dimesso? 7 se ti volgi per fare il bene, non ci sarà un’esaltazione?+ ma se non ti volgi per fare il bene, il peccato è in agguato all’ingresso, e la sua brama è verso di te;+ e tu, da parte tua, lo dominerai?”+ 8 dopo ciò caino disse ad abele suo fratello: [“andiamo nel campo”.]* avvenne dunque che mentre erano nel campo caino assaliva abele suo fratello e lo uccideva.+ 9 geova disse poi a caino: “dov’è abele tuo fratello?”+ ed egli disse: “non lo so. sono io il guardiano di mio fratello?”+ 10 a ciò disse: “che hai fatto? ascolta!* il sangue* di tuo fratello grida a me dal suolo.+ 11 e ora sei maledetto, al bando dal suolo,+ che ha aperto la sua bocca per ricevere il sangue di tuo fratello dalla tua mano.+ 12 quando coltiverai il suolo, non ti renderà la sua potenza.*+ diverrai vagante e fuggiasco sulla terra”.+ 13 a ciò caino disse a geova: “la mia punizione per l’errore è troppo grande da portare. 14 ecco, in questo giorno mi cacci effettivamente dalla superficie del suolo, e sarò nascosto alla tua faccia;+ e dovrò divenire vagante+ e fuggiasco sulla terra, ed è certo che chiunque mi troverà mi ucciderà”.+ 15 a ciò geova gli disse: “per tale ragione* chiunque ucciderà caino dovrà subire vendetta sette volte”.+ e geova pose dunque un segno per caino perché nessuno, trovandolo, lo colpisse a morte.+ 16 allora caino se ne andò dalla faccia di geova+ e prese a dimorare nel paese di fuga* ad oriente dell’eden. 17 caino ebbe poi rapporti con sua moglie+ ed essa rimase incinta e partorì enoc. quindi si mise a edificare una città e, dal nome di suo figlio, diede alla città il nome di enoc.+ 18 a enoc nacque poi irad. e irad generò mehuiael, e mehuiael generò metusael, e metusael generò lamec. 19 e lamec prendeva per sé due mogli. il nome della prima era ada e il nome della seconda era zilla. 20 a suo tempo ada partorì iabal. egli mostrò d’essere il fondatore di quelli che dimorano in tende+ e hanno bestiame.+ 21 e il nome di suo fratello era iubal. egli mostrò d’essere il fondatore* di tutti quelli che maneggiano l’arpa+ e il flauto.*+ 22 in quanto a zilla, essa pure partorì tubal-cain, forgiatore* di ogni sorta di arnese di rame e di ferro.+ e la sorella di tubal-cain fu naama. 23 di conseguenza lamec compose queste parole* per le sue mogli ada e zilla: “udite la mia voce, mogli di lamec; prestate orecchio al mio dire:* ho ucciso un uomo* perché mi ha ferito,* sì, un giovane perché mi ha dato un colpo.* 24 se caino dev’essere vendicato sette volte,+ allora lamec settanta volte e sette”. 25 e adamo aveva di nuovo rapporti con sua moglie ed essa partorì quindi un figlio e gli mise nome set,*+ perché, come essa disse: “dio ha costituito un altro seme* in luogo di abele, perché caino l’ha ucciso”.+ 26 e anche a set nacque un figlio e gli metteva nome enos.+ in quel tempo si cominciò a invocare il nome di geova.+

スワヒリ語

basi adamu akalala na hawa mke wake naye akapata mimba.+ baada ya muda akamzaa kaini+ na kusema: “nimezaa mwanamume kwa msaada wa yehova.”+ 2 baadaye akazaa tena, abeli+ ndugu yake. naye abeli akawa mchungaji wa kondoo,+ bali kaini akawa mkulima wa udongo.+ 3 ikawa kwamba baada ya wakati fulani kwisha kaini akaleta mazao ya udongo+ yawe toleo kwa yehova.+ 4 abeli naye akaleta baadhi ya wazaliwa wa kwanza+ wa kundi lake, pia vipande vyao vyenye mafuta.+ ingawa yehova alikuwa akimtazama abeli na toleo lake kwa kibali,+ 5 hakumtazama kaini na toleo lake kwa kibali chochote.+ ndipo kaini akawaka hasira,+ na uso wake ukaanza kukunjamana. 6 basi yehova akamwambia kaini: “kwa nini umewaka hasira na kwa nini uso wako umekunjamana? 7 ukigeuka utende mema, je, hutainuliwa?+ lakini usipogeuka utende mema, kuna dhambi inayovizia katika mwingilio, nayo inakutamani+ wewe. je, wewe utaishinda?”+ 8 baada ya hayo kaini akamwambia abeli ndugu yake: “twende shambani.” basi ikawa kwamba walipokuwa shambani kaini akamshambulia abeli ndugu yake, akamuua.+ 9 baadaye yehova akamuuliza kaini: “yuko wapi abeli ndugu yako?”+ naye akasema: “sijui. kwani mimi ni mlinzi wa ndugu yangu?”+ 10 kwa hiyo akasema: “umefanya nini? sikiliza! damu ya ndugu yako inanililia kutoka katika udongo.+ 11 na sasa umelaaniwa kwa kufukuzwa kutoka katika udongo,+ ambao umefungua kinywa chake ili kupokea damu ya ndugu yako kwa mkono wako.+ 12 utakapoulima udongo, hautakurudishia nguvu zake.+ utakuwa mwenye kutanga-tanga na mkimbizi duniani.”+ 13 kwa hiyo kaini akamwambia yehova: “adhabu yangu ya kosa ni kubwa mno, haichukuliki. 14 tazama unanifukuza leo kutoka usoni pa udongo, nami nitafichwa kutoka usoni pako;+ nami nitakuwa mwenye kutanga-tanga+ na mkimbizi duniani, na itakuwa kwamba yeyote atakayenikuta ataniua.”+ 15 ndipo yehova akamwambia: “kwa sababu hiyo yeyote anayemuua kaini atalipizwa kisasi mara saba.”+ hivyo yehova akaweka ishara kwa ajili ya kaini ili kwamba yeyote anayemkuta asimpige.+ 16 ndipo kaini akaenda zake kutoka usoni pa yehova+ na kukaa katika nchi ya ukimbizi upande wa mashariki wa edeni. 17 baadaye kaini akalala na mke wake+ naye akapata mimba, akamzaa enoko. kisha akajishughulisha na ujenzi wa jiji, akaliita hilo jiji kwa jina la mwana wake enoko.+ 18 baadaye enoko akazaa mwana anayeitwa iradi. na iradi akamzaa mehuyaeli, na mehuyaeli akamzaa methushaeli, na methushaeli akamzaa lameki. 19 na lameki akajichukulia wake wawili. jina la wa kwanza lilikuwa ada na jina la wa pili lilikuwa zila. 20 baada ya muda ada akamzaa yabali. akawa mwanzilishi wa wale wanaokaa katika mahema+ na walio na mifugo.+ 21 na jina la ndugu yake lilikuwa yubali. akawa mwanzilishi wa wote wanaotumia kinubi+ na zumari.+ 22 zila naye pia akamzaa tubal-kaini, mfuaji wa kila namna ya vifaa vya shaba na chuma.+ na dada yake tubal-kaini alikuwa naama. 23 basi lameki akatunga maneno haya kwa ajili ya wake zake ada na zila: “sikieni sauti yangu, enyi wake za lameki; tegeni sikio kwa maneno yangu: nimemuua mtu kwa kunitia jeraha, naam, kijana kwa kunipiga. 24 ikiwa kaini atalipizwa kisasi mara 7,+ basi lameki ni mara 77.” 25 naye adamu akalala na mke wake tena naye akazaa mwana, akamwita jina lake sethi,+ kwa sababu, kama alivyosema: “mungu amenichagulia uzao mwingine badala ya abeli, kwa sababu kaini alimuua.”+ 26 na sethi akazaa mwana pia naye akamwita jina lake enoshi.+ wakati huo watu wakaanza kuliitia jina la yehova.+

最終更新: 2013-03-02
使用頻度: 1
品質:

参照: Wikipedia

人による翻訳を得て
7,794,097,903 より良い訳文を手にいれましょう

ユーザーが協力を求めています。



ユーザー体験を向上させるために Cookie を使用しています。弊社サイトを引き続きご利用いただくことで、Cookie の使用に同意していただくことになります。 詳細。 OK