プロの翻訳者、企業、ウェブページから自由に利用できる翻訳レポジトリまで。
estaba allí el pozo de jacob. entonces jesús, cansado del camino, estaba sentado junto al pozo. era como la hora sexta
mahali hapo palikuwa na kisima cha yakobo, naye yesu, kutokana na uchovu wa safari, akaketi kando ya kisima. ilikuwa yapata saa sita mchana.
cuando se apartó de ellos y de lo que servían en lugar de servir a alá, le regalamos a isaac y a jacob e hicimos de cada uno de éstos un profeta.
basi alipo jitenga nao na yale waliyo kuwa wakiyaabudu badala ya mwenyezi mungu, tulimpa is-haq na yaaqub, na kila mmoja tukamfanya nabii.
cuando entraron como les había ordenado su padre, esto no les valió de nada frente a alá. era sólo una necesidad del alma de jacob, que él satisfizo.
na walipo ingia kama alivyo waamrisha baba yao, haikuwafaa kitu kwa mwenyezi mungu, isipo kuwa ni haja tu iliyo kuwa katika nafsi ya yaa'qub aliitimiza.