プロの翻訳者、企業、ウェブページから自由に利用できる翻訳レポジトリまで。
algunos grupos nacionalistas baluches están tratando de expulsar a todos los que no son baluches y al ejército paquistaní de la provincia.
baadhi ya makundi ya wabalochi yanayopigania taifa lao yanajaribu kuwafukuza raia wasio wabalochi pamoja na vikosi vya kijeshi vya pakistani nje ya jimbo.
baluchistán, la provincia más pobre y densamente poblada de pakistán, está siendo testigo de su quinto movimiento separatista desde 1947.
balochistani, jimbo kubwa zaidi nchini pakistani, lenye idadi ndogo zaidi ya watu na lenye umasikini mkubwa linashuhudia vuguvugu la tano la kujitenga tangu mwaka 1947.
dos personas murieron en enero de ese año al estallar disturbios en mongu, la capital de la provincia occidental, a causa del restablecimiento del tratado de barotseland de 1964.
watu wawili waliuwawa mwezi januari 2011 baada kuzuka machafuko hukomongu, mji mkuu wa jimbo la magharibi baada ya kusimikwa tena kwa mkataba wa barotseland wa mwaka 1964.
en este episodio de gv face, rompemos el silencio acerca de baluchistán conversando con activistas y periodistas paquistaníes y baluches que se atreven a hablar e informar acerca de las violaciones a los derechos humanos que ocurren en la provincia.
katika toleo hili la gv face, tunavunja ukimya kuhusu jimbo la balochistani kwa kuzungumza na wanaharakati na wanandishi wa kipakistani na kibalochi wanaothubutu kuzungumza na kuripoti kuhusu uvunjifu wa haki la binadamu kwenye jimbo hilo.
dos fuertes terremotos sacudieron la provincia de azerbaiyán oriental, al noroeste de irán, el sábado 11 de agosto de 2012, con un saldo de 250 muertos y cerca de 1,800 heridos.
matetemeko makubwa mawili ya ardhi yalilitikisa eneo la kaskazini magharibi nchini iran, mashariki jimbo la azarbaijan mnamo jumamosi (agosti 11, 2012), na kuua watu 250 na kujeruhi karibu 1800.
aquino honró la apertura de la nueva fábrica de automóviles de la corporación mitsubishi motors en laguna (provincia al sur de manila) en vez de asistir a la ceremonia por los policías fallecidos.
aquino alihudhuria kuzinduliwa kwa kiwanda kipya cha magari cha kampuni ya mitsubishi huko laguna (jimbo lililo kusini mwa manila) badala ya kuhudhuria mapokezi ya miili ya polisi.
hubo un caso en el que, según se informó, un monje jefe provincial se emborrachó y golpeó a un clérigo, que no interpuso una queja por razones de seguridad, pues el monje matón es reconocido como el rey monje en la provincia.
kuna kisakilichomhusisha mtawa kiongozi aliyeripotiwa kulewa na kisha kumpiga mwanakleri (mtawa) mwingine huku mwanakleri huyo akishindwa kulipigia jambo hilo ripoti kwa sababu za kiusalama,hasa kwa kuwa mtawa kiongozi huyo anafahamika vema kwamba yeye ni kama mtawa mfalme katika jimbo linalohusika.
@tounisiahourra: una huelga general en thala (provincia de kasserine) hoy en protesta contra la alta tasa de desempleo y el descuido en el mantenimiento de la ciudad.
@tounisiahourra: mgomo mkubwa jijini thala (jimbo la kasserine) leo kupinga kuongezeka kwa ukosefu wa ajira na kuzorota kwa maendeleo ya jiji hilo.
500.000 personas quedaron supuestamente atrapadas en pueblos sin electricidad, gas o agua después de una enorme tormenta de nieve este fin de semana en las provincias del norte de irán, guilán y mazandarán.
inataarifiwa kuwa watu 500,000 wameshindwa kutoka katika vijiji wanavyoishi huku wakikosa huduma ya umeme, nishati ya gesi pamoja na maji hali iliyotokana na kutanda kwa theluji mwisho wa wiki hii kaskazini mwa nchi ya iran katika majimbo ya, gilan na mazandaran.