プロの翻訳者、企業、ウェブページから自由に利用できる翻訳レポジトリまで。
lakini atendaye dhambi ni wa ibilisi, maana ibilisi ametenda dhambi tangu mwanzo. lakini mwana wa mungu alikuja duniani kuiharibu kazi ya ibilisi.
kes pattu teeb, see on kuradist; sest kurat teeb pattu algusest saadik. selleks on jumala poeg ilmunud, et ta tühistaks kuradi teod.
basi, yesu na wanafunzi wake walikuwa mezani kwa chakula cha jioni. ibilisi alikwisha mtia yuda, mwana wa simoni iskarioti, nia ya kumsaliti yesu.
ja õhtusöömaajal olles, kui kurat juba oli juuda, siimona poja iskarioti südamesse pannud, et ta tema ära annaks,
lakini yeyote asiyetenda mambo maadilifu, au asiyempenda ndugu yake, huyo si mtoto wa mungu. hiyo ndiyo tofauti iliyoko kati ya watoto wa mungu na watoto wa ibilisi.
sellest ilmneb, kummad on jumala lapsed ja kummad kuradi lapsed. Ükski, kes ei tee õigust, ei ole jumalast, ega see, kes ei armasta oma venda.
mnajua yesu wa nazareti na jinsi mungu alivyomteua kwa kummiminia roho mtakatifu na nguvu. mungu alikuwa pamoja naye; yeye alikwenda huko na huko akitenda mema na kuwaponya wote waliokuwa wamevamiwa na ibilisi.
kuidas jumal jeesuse naatsaretist oli võidnud püha vaimu ja väega ja kuidas tema käis mööda maad ja tegi head ning parandas kõiki, kelle üle kurat oli saanud võimuse; sest jumal oli temaga.
ibilisi, aliyekuwa anawapotosha, akatupwa ndani ya ziwa linalowaka moto wa kiberiti, walimo yule mnyama na yule nabii wa uongo, nao watateswa mchana na usiku, milele na milele.
ja kurat, kes neid eksitas, heideti tule ja väävli järve, kus on ka metsaline ja valeprohvet. ja neid vaevatakse päevad ja ööd ajastute ajastuteni!
basi, joka hilo kuu likatupwa nje. joka hilo ndiye yule nyoka wa kale ambaye huitwa pia ibilisi au shetani. ndiye anayeudanganya ulimwengu wote. naam, alitupwa duniani, na malaika wake wote pamoja naye.
ja suur lohe, see vana madu, keda hüütakse kuradiks ja saatanaks, kes eksitab kogu maailma, visati maa peale, ja tema inglid visati välja ühes temaga.
basi, kwa vile watoto hao, kama awaitavyo, ni watu wenye mwili na damu, yesu mwenyewe akawa kama wao na kushiriki ubinadamu wao. alifanya hivyo ili kwa njia ya kifo chake amwangamize ibilisi, ambaye ana mamlaka juu ya kifo,
et nüüd lapsed on liha ja vere osalised, siis temagi sai otse samal viisil osa sellest, et ta surma läbi kaotaks selle, kelle võimu all oli surm, see on kuradi,