プロの翻訳者、企業、ウェブページから自由に利用できる翻訳レポジトリまで。
ninamshukuru mungu ambaye ninamtumikia kwa dhamiri safi kama walivyofanya wazee wangu; namshukuru kila ninapokukumbuka daima katika sala zangu.
zahvalan sam bogu, kojemu onamo od predaka èiste savjesti sluim, dok te se neprestano spominjem u svojim molitvama noæ i dan.
kila kitu ni safi kwa watu walio safi; lakini hakuna chochote kilicho safi kwa wale waliochafuliwa na wasioamini, maana dhamiri na akili zao zimechafuliwa.
sve je èisto èistima; okaljanima pak i nevjernima nita èisto, nego su im okaljani i razum i savjest.
lakini fanyeni hivyo kwa upole na heshima. muwe na dhamiri njema, kusudi mnapotukanwa, wale wanaosema ubaya juu ya mwenendo wenu mwema kama wakristo, waone aibu.
ali blago i s potovanjem, dobre savjesti da oni koji ozloglauju va dobar ivot u kristu, upravo onim budu postiðeni za to vas potvaraju.
maana, mtu ambaye dhamiri yake ni dhaifu, akikuona wewe mwenye ujuzi unakula vyakula hivyo ndani ya hekalu la sanamu, je, hatatiwa moyo wa kula vyakula vilivyotambikiwa sanamu?
jer vidi li tko tebe koji ima znanje za stolom u hramu idolskomu, neæe li se njegova savjest, jer je nejaka, "izgraditi" da jede rtvovano idolima?
mathalan: watu wa mataifa mengine hawana sheria ya mose; lakini kila wanapotimiza matakwa ya sheria wakiongozwa na dhamiri zao, wao wenyewe wanakuwa kipimo cha sheria ingawa hawaijui sheria.
ta kad se god pogani, koji nemaju zakona, po naravi dre zakona, i nemajuæi zakona, oni su sami sebi zakon:
sisi tunajivunia kitu kimoja: dhamiri yetu inatuhakikishia kwamba tumeishi ulimwenguni hapa, na hasa kati yenu, kwa unyenyekevu na unyofu tuliojaliwa na mungu; hatukuongozwa na hekima ya kibinadamu bali neema ya mungu.
a ovo je naa slava: svjedoèansto nae savjesti da smo u svijetu ivjeli - osobito prema vama - u svetosti i iskrenosti bojoj, ne u mudrosti tjelesnoj, nego u bojoj milosti.
lakini, kwa damu ya kristo, mambo makuu zaidi hufanyika! kwa nguvu za roho wa milele, kristo alijitolea mwenyewe dhabihu kamilifu kwa mungu. damu yake itatutakasa dhamiri zetu kutokana na matendo yaletayo kifo, ili tupate kumtumikia mungu aliye hai.
koliko æe vie krv krista - koji po duhu vjeènom samoga sebe bez mane prinese bogu - oèistiti savjest nau od mrtvih djela, na slubu bogu ivomu!