プロの翻訳者、企業、ウェブページから自由に利用できる翻訳レポジトリまで。
lakini kwa vile daudi alikuwa nabii, alijua kuwa mungu alimwapia kiapo kwamba atamtawaza mmoja wa uzawa wake kuwa mfalme mahali pake.
da han nu var en profet og visste at gud med en ed hadde tilsvoret ham at av hans lends frukt vilde han sette en på hans trone,
yosefu pia alifanya safari kutoka mjini nazareti mkoani galilaya. kwa kuwa alikuwa wa jamaa na ukoo wa daudi alikwenda mjini bethlehemu mkoani yuda alikozaliwa mfalme daudi.
men også josef drog op fra galilea, fra byen nasaret, til judea, til davids stad, som heter betlehem, fordi han var av davids hus og ætt,
--kwa idhini ya mwenyezi mungu waliwatimua, na daudi akamuuwa jaluti, na mwenyezi mungu akampa daudi ufalme na hikima, na akamfundisha aliyo yapenda.
med guds bifall drev de dem på flukt, og david drepte goliat. og gud gav ham kongedømmet og visdom, og han lærte ham det han ville.
basi, kulikuwa na vizazi kumi na vinne tangu abrahamu mpaka daudi, vizazi kumi na vinne tangu daudi mpaka wayahudi walipochukuliwa mateka babuloni, na vizazi kumi na vinne tangu kuchukuliwa mateka mpaka wakati wa kristo.
således er alle ætt-leddene fra abraham inntil david fjorten ledd, og fra david inntil bortførelsen til babylon fjorten ledd, og fra bortførelsen til babylon inntil kristus fjorten ledd.
daudi mwenyewe akiongozwa na roho mtakatifu alisema: bwana alimwambia bwana wangu: keti upande wangu wa kulia, mpaka nitakapowaweka adui zako chini ya miguu yako."
david selv har jo sagt i den hellige Ånd: herren sa til min herre: sett dig ved min høire hånd, til jeg får lagt dine fiender til skammel for dine føtter!