プロの翻訳者、企業、ウェブページから自由に利用できる翻訳レポジトリまで。
roho aliniambia niende pamoja nao bila kusita. hawa ndugu sita waliandamana nami pia kwenda kaisarea na huko tuliingia nyumbani mwa kornelio.
dixit autem spiritus mihi ut irem cum illis nihil haesitans venerunt autem mecum et sex fratres isti et ingressi sumus in domum vir
huyo malaika aliyesema hayo alipokwisha kwenda zake, kornelio aliwaita watumishi wawili wa nyumbani na mmoja wa askari zake ambaye alikuwa mcha mungu,
et cum discessisset angelus qui loquebatur illi vocavit duos domesticos suos et militem metuentem dominum ex his qui illi pareban
petro alipokuwa bado anashangaa juu ya maana ya hilo maono alilokuwa ameliona, wale watu waliotumwa na kornelio, baada ya kuigundua nyumba ya simoni, walifika mlangoni,
et dum intra se haesitaret petrus quidnam esset visio quam vidisset ecce viri qui missi erant a cornelio inquirentes domum simonis adstiterunt ad ianua
kornelio alimkodolea macho huyo malaika kwa hofu, akamwambia, "kuna nini mheshimiwa?" huyo malaika akamwambia, "mungu amezipokea sala na sadaka zako kwa maskini.
at ille intuens eum timore correptus dixit quid est domine dixit autem illi orationes tuae et elemosynae tuae ascenderunt in memoriam in conspectu de
wao wakamjibu, "jemadari kornelio ambaye ni mtu mwema, mcha mungu na mwenye kuheshimika mbele ya wayahudi wote ametutuma. aliambiwa na malaika mtakatifu akualike nyumbani kwake ili asikilize chochote ulicho nacho cha kusema."
qui dixerunt cornelius centurio vir iustus et timens deum et testimonium habens ab universa gente iudaeorum responsum accepit ab angelo sancto accersire te in domum suam et audire verba abs t